mwita mutundi
Senior Member
- Oct 27, 2022
- 188
- 305
point mkuuKila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.
Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.
Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.