Mlioko Jikoni Pay Roll za August zipoje?

Mlioko Jikoni Pay Roll za August zipoje?

Kila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.

Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.

Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.
point mkuu
 
Kua mtumishi sio utumwa chief, bali utumwa ni kuishi maisha ya kumtegemea mtoa maamuzi ama kuishi maisha ya kutokujua kesho/hatma yako ama kuishi kwa kusubiri fulani akubali ama akatae (haujui)
hakuna aijuaye kesho mkuu! hayupo!!! ndio maana tunamwamini MUNGU. Ndio maana ni lazima tuyakabidhi maisha yetu kwa Bwana Yesu.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Nshachukua Mazaga zaga kwa mango,Nyongeza italipa
FB_IMG_1691844818010.jpg
 
Utafungwa ha ha ha aaa!!! (Natania). Kajichane Mkuu!!!
===
Halafu hawa waliotoa msemo wa "kujichana " walifikiria nini hasa ..hivi kula kunahusishwaje nankujichana? Wataalamu wa lugha njooni.
Kujichana unatumia mikono,Kula unatumia mikono,kile kitendo cha kupeleka na kurudisha.Na pia kujichana ni kama kufurahia mlo
 
Kila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.

Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.

Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.
Ujumbe mzuri sana,nauwekea Lamination
 
Kila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.

Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.

Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.
Ujumbe mzuri sana,nauwekea Lamination
 
Back
Top Bottom