Ccm ilisha ondoka kwenye mioyo ya watumishi wa imma.
Duh kwa hiyo hii ni ya miezi miwili mhhhhh nikajua ndio Kila mwezi itaendelea😂😂Wameongeza aise! Nimetoka na 150 sasa sijui ndo gawa Kwa mbili?
Hiki kiwango ni kilekile tangu 2015,inawezekanaje kiendelee kubaki hivyo hivyo?.SCHEDULE INCREMENT
TGOS A1 - A18 = 7,000
TGOS B1 - B12 = 12,000
TGOS C1 - C12 = 13,000
TGS A1 - A8 = 8,500
TGA B1- B10 =11,000
TGS C1- C12 = 13,000
TGS D1 - D12 = 15,000
TGS E1 - E12 = 19,000
TGS F1 - F12 = 24,000
TGS G1 - G12 = 31,000
TGS H1 - H12 = 62,000
TGS I 1 - I 4 = 117,000
TGS J1- Fixed
TGTS B1 - B6 = 10,000
TGTS C1- C7 = 13,000
TGTS D1 - D7 = 17,000
TGTS E1 - E10 = 19,000
TGTS F1 - F7 = 33,000
TGTS G1- G7= 38,000
TGTS H1 - H7 = 60,000
TGTS I 1 - Fixed
TGHOS A1 - A10 = 6,000
TGHOS B1- B10 = 9,000
TGHOS C1 = C10 =10,000
TGHS A1 - A8 = 11,000
TGHS B1 - B8 = 12,000
TGHS C1 - C8 = 19,000
TGHS D1 - D8 = 126,000
TGHS E1 - E8 = 30,000
TGHS F1 - F8 = 55,000
TGHS G1 - G4 = 67,000
TGHS H1 - H4 = 116,000
TGHS I = Fixed
TGHS J= Fixed
TGHS K= Fixed
TGHS L = Fixed
Kula chuma hicho[emoji115][emoji115]
Mshahara ni wangu usinilazimishe nisijue haki yangu,ooh usitegemee mshahara,tusipokuwepo makazini mnapiga kelele wanafiki wakubwa nyie.Tumewapa watu wasimamie miradi tumeishia kupigwa,ukimuamini ndugu ndio kabisa umeliwa
Lisilo wezekana kwingine hapa linawezekanaHiki kiwango ni kilekile tangu 2015,inawezekanaje kiendelee kubaki hivyo hivyo?.
Mama yangu alikua na mawazo kama yako,yupo kazini na kuwekeza,amepoteza 20,000,000 miradi usimamie mwenyewe.Watumishi tupambane kutafuta vyanzo vipya vya mapato.mishahara ni utopolo
Mkuu mi nafanya real estate nlijaribu biashara zikanishinda so najenga nyumba tu. Once nikistafu zitanisaidia kusomesha machalii na kuongezea kwenye penshen. Kiinua mgongo changu ni kwa ajili ya kushugulikia a fya yangu tu sitachomoa hata chapa, kikitoka tu nakipeleka utt chote. Nikisikia tu kwaaa nakwea pipa india kutibiwaMama yangu alikua na mawazo kama yako,yupo kazini na kuwekeza,amepoteza 20,000,000 miradi usimamie mwenyewe.
Mda wote uonekane kazini,wananchi ni wanoko usipime,ukitaka acha kazi kama unazani unataka utajiri