Mlioko Jikoni Pay Roll za August zipoje?

Mlioko Jikoni Pay Roll za August zipoje?

Mshahara ni wangu usinilazimishe nisijue haki yangu,ooh usitegemee mshahara,tusipokuwepo makazini mnapiga kelele wanafiki wakubwa nyie.Tumewapa watu wasimamie miradi tumeishia kupigwa,ukimuamini ndugu ndio kabisa umeliwa
 
SCHEDULE INCREMENT
TGOS A1 - A18 = 7,000
TGOS B1 - B12 = 12,000
TGOS C1 - C12 = 13,000

TGS A1 - A8 = 8,500
TGA B1- B10 =11,000
TGS C1- C12 = 13,000
TGS D1 - D12 = 15,000
TGS E1 - E12 = 19,000
TGS F1 - F12 = 24,000
TGS G1 - G12 = 31,000
TGS H1 - H12 = 62,000
TGS I 1 - I 4 = 117,000
TGS J1- Fixed

TGTS B1 - B6 = 10,000
TGTS C1- C7 = 13,000
TGTS D1 - D7 = 17,000
TGTS E1 - E10 = 19,000
TGTS F1 - F7 = 33,000
TGTS G1- G7= 38,000
TGTS H1 - H7 = 60,000
TGTS I 1 - Fixed

TGHOS A1 - A10 = 6,000
TGHOS B1- B10 = 9,000
TGHOS C1 = C10 =10,000

TGHS A1 - A8 = 11,000
TGHS B1 - B8 = 12,000
TGHS C1 - C8 = 19,000
TGHS D1 - D8 = 126,000
TGHS E1 - E8 = 30,000
TGHS F1 - F8 = 55,000
TGHS G1 - G4 = 67,000
TGHS H1 - H4 = 116,000

TGHS I = Fixed
TGHS J= Fixed
TGHS K= Fixed
TGHS L = Fixed



Kula chuma hicho[emoji115][emoji115]
Hiki kiwango ni kilekile tangu 2015,inawezekanaje kiendelee kubaki hivyo hivyo?.
 
Mshahara ni wangu usinilazimishe nisijue haki yangu,ooh usitegemee mshahara,tusipokuwepo makazini mnapiga kelele wanafiki wakubwa nyie.Tumewapa watu wasimamie miradi tumeishia kupigwa,ukimuamini ndugu ndio kabisa umeliwa

Mkuu umeongea kwa uchungu sana na hisia nyingi! Mtu unajikongoja unaenda kukopa zako ufungue kabiashara kako kakuingizie afu tatu unaona Ngoja nimuweke mtoto wa anko maana nae Hana mbele wala nyuma badala mawazo yenu yawe perpendicular yeye anawaza kukupiga hadi kabiashara kanakufa na ukiweka mtu baki nae mawazo yake akuibie tu kwa notions Wewe si mtumishi utaenda kukopa tu.

Ifike muda watumishi walipwe vizuri na serikali kutokana na elimu zao ili waconcentrate na kazi ili tija ionekane na sio kila mtumishi awaze kujiajiri na side hustle ili kusogeza siku ! Shame
 
Watumishi tupambane kutafuta vyanzo vipya vya mapato.mishahara ni utopolo
Mama yangu alikua na mawazo kama yako,yupo kazini na kuwekeza,amepoteza 20,000,000 miradi usimamie mwenyewe.
Mda wote uonekane kazini,wananchi ni wanoko usipime,ukitaka acha kazi kama unazani unataka utajiri
 
Mama yangu alikua na mawazo kama yako,yupo kazini na kuwekeza,amepoteza 20,000,000 miradi usimamie mwenyewe.
Mda wote uonekane kazini,wananchi ni wanoko usipime,ukitaka acha kazi kama unazani unataka utajiri
Mkuu mi nafanya real estate nlijaribu biashara zikanishinda so najenga nyumba tu. Once nikistafu zitanisaidia kusomesha machalii na kuongezea kwenye penshen. Kiinua mgongo changu ni kwa ajili ya kushugulikia a fya yangu tu sitachomoa hata chapa, kikitoka tu nakipeleka utt chote. Nikisikia tu kwaaa nakwea pipa india kutibiwa
 
Back
Top Bottom