Mkuu wa kazi unahisi kukoje maana uhalisia unajulikana.Salam, Wadau wazito mambo yakoje?
Poleni sana watumwa kukadiriwa kipato kwa mwezi sijambo rahisiMtumishi (mzizi wa neno(Mtumwa)
Ndio wanaowaweka mjini wafanyabiaraMtumishi (mzizi wa neno(Mtumwa)
😳🤭Mungu awasaidie sana wanangu, wakuze katika yalio bora/mema na awaepushe kwenye utumwa katika maisha yao.
noma sana mkuuNi normal annual increment tu
Na ka arrear cha July basi.
Mishahara imeongezwa kwa baadhi ya watu tu.
Asanteni kwa uvumilivu
Mtumishi (mzizi wa neno(Mtumwa)