Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,061
Hapa utaloba mkuu! Watoto wa Ardhi wa ARU mnavaa suruali wote mnabinuka keenye Drawing Table huko Arch Plaza....Kuna warembo
Ukilala studio week tuu wala huwazi mtoto mzuri...
Go and try it..
Hapa utaloba mkuu! Watoto wa Ardhi wa ARU mnavaa suruali wote mnabinuka keenye Drawing Table huko Arch Plaza....Kuna warembo
Qs vipii....bora umewaambia ukweli, wakati nafika ardhi BE kila mtu anasifia kozi nzurii somaa na mbwembwe kibao nikapata BICHWAA, liza baada ya kumaliza shule vyeti hata 500 haikup kwa mwezi naumepanga jiji hili
Hahahaaa! Wewe hujasoma BE ! Kama ni BE utakuta hauko serious manake wako wenzako wamemaliza hiyo Be lakini kwa kuwa hawakutaka kuinvest kwenye professional yao wako wafanya mambo mengine...Kama bado mwanafunzi endelea kusoma ukimaliza utayakuta mbele
Mkuu kule watoto wa kike wanalala studio hadi usiku wa 8 ila hiyo stress ya kazi tuu wala hutakuwa na hamu ya ku ######Hahhaa mimi sipendi suruali bana. mimi nataka sketi mtoto akibinuka mashalaa nione mapaja yake hadi takoz na chupi.
Huko studio wanafanyaje.Mkuu kule watoto wa kike wanalala studio hadi usiku wa 8 ila hiyo stress ya kazi tuu wala hutakuwa na hamu ya ku ######
[emoji41][emoji41][emoji41]
Studio watu wanachora mkuu!Huko studio wanafanyaje.
Qs vipii....
Yaani na kusoma kote measurements unalia njaa kama umesoma political science!
Huwezi fanya ngono darasani kijana...!Ngono iko pale pale bana. Utafanya kazi kwa bidii sana mwishowe utamtafuta mtu wa kukufanya ulegee kwa utamu.
Mkuu hali yako ni mbaya...!Ni kweli ila ngono ni sehemu ya chuo kwa hiyo lazima ukubaliane na mimi pia sio wanaofanya ngono chuoni tuu wanakufa bali hata wanaofanya mapenzi mtaani wanakufa mapema.
Ila kama ndo umemaliza form six sio mbaya ....nenda chuo utabadilika tuu mkuu !Ni kweli ila ngono ni sehemu ya chuo kwa hiyo lazima ukubaliane na mimi pia sio wanaofanya ngono chuoni tuu wanakufa bali hata wanaofanya mapenzi mtaani wanakufa mapema.
What make this university to be unique? Kwa Tanzania hapa chuo pekee kama kingeenda kama walivyo aza ni The Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST)una swali lolote kuhusu hostel, usajiri,degree programs,usalama, nk. basi usisite kuuliza
Umefanya utafiti gani mkuu!we kubali usikubali mimi nakuambia watu wanatiana mipini chuo bana na ndo watu wanapoharibikia kwa mujibu wa tafiti zangu za miaka mitano.
Nina dogo namuhifadhi kamaliza BE mwenyewe anajiita QS mwaka wa pili hata uwezo wa kupanga chumba hana,akipata kazi basi kwa mchina anamlipa elfu 10 au 5 kwa siku.....,tunawaambieni kweli ,someni muje uraiani,kama mnaweza muwe mnapitia hata tovuti za ajira muone rate ya uhitaji wa post zenu ukoje,watu wa hapo inaweza pita miezi hata mitatu ndo unaona labda post moja ya QS
Umemaliza mwaka gani mkuu?Nalia pesa kidogo kazi lukuki,
Umemaliza mwaka gani mkuu?
Do not speak on your feelings...speak with facts!We endelea kubisha tuu ila ukeli ndio huo. Wanafunzi wengi wa chuo wa kike ndo kimbilio la wapenda malaya.
Una mawazo mafupi mno...!Vyote vinafanyika. watu wanatiana vibaya mno na wanapiga kitabu pia.
We ndugu ni kwamba hujui haya mambo ya vyuoni au unanichora?
We jamaa mbishi kinoma haya basi naunga mkono msimamo wako.Una mawazo mafupi mno...!
Wewe unawaza kwenda kutiana chuo ! Kwani ukikaa kwenu huwezi kutiana?