Mkuu nadhan unapaswa kuwajua vzr wanasiasa!mkuu, mh membe hajafanya kampeni hapa.. Wananchi waliochoka ndo wanambembeleza awanasue..
Badala ya kudai katiba mpya ikusaidie ww na generation yako unadi msaada wa mtu....... kila mwenye akili timamu aliesoma posts zangu atakuwa shuhuda kuwa SIJAWAHI KUMUUNGA MKONO Rais Magufuli hata siku moja. Naamini na nina uhakika kuwa kila anachokifanya (hata kama ana nia nzuri namna gani) hakitafanikiwa MAANA METHODOLOGY ANAYOIAMINI SIO SAHIHI KWA ULIMWENGU TUNAOUISHI LEO.
Magufuli ni mtu kama nilivyo mimi, kwa mantiki hiyo hana control na kesho yake kama nilivyo mimi. That in turn, akubali kuwa he needs to work with people who opposes him because by so doing he will rid himself of people who keep singing his praises but in the actual fact are bent on to ensure their personal motives are sustained.
Rais Magufuli; you are the most suited person at this point in our nation history to do what am suggesting to you now. Watu wanakusifu (and more importantly wanakuogopa); SO ENSURE THE NEW CONSTITUTION WHICH WILL MAKE SURE THAT NO INDIVIDUAL CAN DO WHATEVER HE(SHE) LIKES IS IMPOSSIBLE. Utakumbukwa kwa mengi yasiyopendeza, LAKINI UKIFANYA HIVI UTAKUMBUKWA NA VIZAZI VYOTE VYA NCHI HII POSITIVELY.
NAOGOPA KILA JINA LA MEMBE LINAVYOTAJWA HAPA - mimi sio mwana ccm kwa hiyo sijui huko mnaparanganaje, lakini kwangu mimi ni bora Magufuli kuliko Membe. Japo Magufuli mwenyewe sio Rais tunaemhitaji kwa wakati huu.
Mungu Muumba Mbingu na Nchi akujaalie busara.
Acha uzobaHuu wimbo wa Membe unazidi kuvuma!
Si wa kuuchekea chekea ufanyiwe kazi kwa mujibu wa sheria, kanuni na utamaduni wetu.
Kampeni hazijaanza. Tuheshimu Matakwa ya kisheria!
Wewe wasemaSiyo kweli kwamba wewe ni kama Magufuli, kwani Magufuli ni Raisi wa JMTZ na wewe siyo, hivyo huwezi kuwa kama Magufuli kwa maana huwezi kuja kuwa Raisi wa JMTZ kamwe!
Tatizo watz mnapenda kiongozi wa maneno maneno mengi vitendo hakuna,fanyeni kazi.Na yote kwa sababu kabana mirija ya upigaji ndio mnalalamika.Ukienda vijijini au sehemu ambazo wanapata huduma kama zahanati,umeme REA na miradi ya maji hawawezi sema hivyo.Ni huku mitandaoni ndio kelele nyingi"lakini kwangu mimi ni bora Magufuli kuliko Membe. Japo Magufuli mwenyewe sio Rais tunaemhitaji kwa wakati huu".....
Hapana mkuu JPM is the worse president ever in Tz sitegemee raisi mgine worse kuliko yeye anaweza kujutokeza tena.....JPM Hana clear political agenda and programme with un defined economic policy, poor foreign and public relation, no rule of law and democracy hana political torelance and humour, ni raisi mzuri ila sio kwa Tanzania nchi ya amani na utulivu.
Tatizo watz mnapenda kiongozi wa maneno maneno mengi vitendo hakuna,fanyeni kazi.Na yote kwa sababu kabana mirija ya upigaji ndio mnalalamika.Ukienda vijijini au sehemu ambazo wanapata huduma kama zahanati,umeme REA na miradi ya maji hawawezi sema hivyo.Ni huku mitandaoni ndio kelele nyingi
Hata Majaliwa katika moja ya mikutano yake amewataka wananchi wasimuangushe jiwe,wampe kura 2020.Huu wimbo wa Membe unazidi kuvuma!
Si wa kuuchekea chekea ufanyiwe kazi kwa mujibu wa sheria, kanuni na utamaduni wetu.
Kampeni hazijaanza. Tuheshimu Matakwa ya kisheria!
Povu na uoga kama wote vileHuu wimbo wa Membe unazidi kuvuma!
Si wa kuuchekea chekea ufanyiwe kazi kwa mujibu wa sheria, kanuni na utamaduni wetu.
Kampeni hazijaanza. Tuheshimu Matakwa ya kisheria!
Between the two of them the choice is either a rock or a hard place!....... kila mwenye akili timamu aliesoma posts zangu atakuwa shuhuda kuwa SIJAWAHI KUMUUNGA MKONO Rais Magufuli hata siku moja. Naamini na nina uhakika kuwa kila anachokifanya (hata kama ana nia nzuri namna gani) hakitafanikiwa MAANA METHODOLOGY ANAYOIAMINI SIO SAHIHI KWA ULIMWENGU TUNAOUISHI LEO.
Magufuli ni mtu kama nilivyo mimi, kwa mantiki hiyo hana control na kesho yake kama nilivyo mimi. That in turn, akubali kuwa he needs to work with people who opposes him because by so doing he will rid himself of people who keep singing his praises but in the actual fact are bent on to ensure their personal motives are sustained.
Rais Magufuli; you are the most suited person at this point in our nation history to do what am suggesting to you now. Watu wanakusifu (and more importantly wanakuogopa); SO ENSURE THE NEW CONSTITUTION WHICH WILL MAKE SURE THAT NO INDIVIDUAL CAN DO WHATEVER HE(SHE) LIKES IS IMPOSSIBLE. Utakumbukwa kwa mengi yasiyopendeza, LAKINI UKIFANYA HIVI UTAKUMBUKWA NA VIZAZI VYOTE VYA NCHI HII POSITIVELY.
NAOGOPA KILA JINA LA MEMBE LINAVYOTAJWA HAPA - mimi sio mwana ccm kwa hiyo sijui huko mnaparanganaje, lakini kwangu mimi ni bora Magufuli kuliko Membe. Japo Magufuli mwenyewe sio Rais tunaemhitaji kwa wakati huu.
Mungu Muumba Mbingu na Nchi akujaalie busara.
Always short sightedSiyo kweli kwamba wewe ni kama Magufuli, kwani Magufuli ni Raisi wa JMTZ na wewe siyo, hivyo huwezi kuwa kama Magufuli kwa maana huwezi kuja kuwa Raisi wa JMTZ kamwe!
Mpaka pale utakapoacha upumbavu wako!Acha uzoba
Ujumbe huu si mbaguzi. Wala haujamuacha Majaliwa pembeni!Hata Majaliwa katika moja ya mikutano yake amewataka wananchi wasimuangushe jiwe,wampe kura 2020.
Huyu nae hajui kama muda wa kampeni bado?
Si povu. Wengine ni waumini wa sheria tulizojiwekea. Tunapokemea hatujali wala kubagua mtu.Povu na uoga kama wote vile