Mlio Hamia nyumba zenu mpya, Majirani zenu Shwari au Vita?

Hell2Heaven

Senior Member
Mar 3, 2021
166
452
Tupeane Uzoefu wa Tabia za Wenyeji wako, ulizo kutana nazo kwa Jiran yako wa mpakani au mtaa ulio jenga na kuhamia au ulipo nunua kiwanja umepokelewaje? Vipi wenyeji wa pande zote za nyumba au eneo lako? Kuna kosekana wivu na gubu kwa jirana zako? au ndio ile ushazoea husemezani nao? Au umepata wenyeji wema sana?

Kuna Mada nimeziona mitandaon watu wakizungumzia uzoefu wa jinsi ya kuhami makazi mapya na jinsi wenyeji wenye hila walivyo wasumbua, wengine kuugua sana na uchumi kuharibika mazima, wengine kununiwa na wengine kujikuta wanatengwa bila sababu, wengine wana dai uchawi ulikuwa si wakawaida walikaribishwa kwakupimwa uwezo wao kama wana nguvu au lah.

Vipi wewe unauzoefu gani wa kushare na sisi??

Je! nikweli kabla ya kuhamia nyumba mpya anahitajika kiongozi wa kiroho aje kuomba na kama wewe ni wagiza lazima mganga aje kufanya mambo?

Tupeane visa na jinsi ulivyp kabiliana navyo maana kuna watu wanahitaji kujifunza wavuke vikwazo hivyo.. na wengine wametamani hata kuuza nyumba wahame.
 
Daaah umenikumbusha majirani zangu wakati naanza maisha. Yule jamaa na Mke wake walikuwa HODs wa Jiji la mme wake akiwa Injinia nadhan mama alikuwa Accountant. Picha linaanza natakiwa kupeleka mchanga Site ile barabara ya kupita wameitengeneza wao kwa kiwango cha Zegge bad thing sikuwa nimewataarifu kuwa mimi ndie jiran yenu nitaanza ujenzi so and so...
Napigiwa simu gari za vifaa zimekamatwa huku site, nikatinga kibabe kutokea kwenye chimbo langu la utafutaji. Kufika pale nikamkuta Mke wa Jirani, kabla hata sijaongea Chochote akapaza sauti siwezi kuongea nawewe namtaka mhusika mwenyewe, asijue mimi ndiye.
Daaaah.... Baaadae sana kwa kuchangia ujenzi wa ile njia ndipo nikapewa idhini kupita kwa masimango.
Baada ya Project kukamilika heshima ilirudi pahala pake leo tunaishi kwa kutegemeana sana na Jirani yangu baba Muganyizi upande mwingine yupo Mwaisa Mzee wa Matripu hanaga ubaya na Mtu na Nyuma wapo Wasambaa wenye roho nzuri kabisa Baba Beka ingawa jamaa kwa kupeleka moto si haba mpaka nyumba ya pili mnapata salamu zake.
Nilichojifunza kwa majirani ili maisha yaende unapaswa kujishusha na ku act kama mjinga na mpumbavu wa mwisho, usiye mjuaji ili siku ipite ili mambo mengine unawapiga fimbo ile mbayaaaaa. Mf. Watoto wanasoma shule nzuri, Unamtunza na kumtamini mkeo na familia kwa ujumla, Gari nzuri nk nk at the end watakuelewa tu.
 
Daaah umenikumbusha majirani zangu wakati naanza maisha. Yule jamaa na Mke wake walikuwa HODs wa Jiji la mme wake akiwa Injinia nadhan mama alikuwa Accountant. Picha linaanza natakiwa kupeleka mchanga Site ile barabara ya kupita wameitengeneza wao kwa kiwango cha Zegge bad thing sikuwa nimewataarifu kuwa mimi ndie jiran yenu nitaanza ujenzi so and so...
Napigiwa simu gari za vifaa zimekamatwa huku site, nikatinga kibabe kutokea kwenye chimbo langu la utafutaji. Kufika pale nikamkuta Mke wa Jirani, kabla hata sijaongea Chochote akapaza sauti siwezi kuongea nawewe namtaka mhusika mwenyewe, asijue mimi ndiye.
Daaaah.... Baaadae sana kwa kuchangia ujenzi wa ile njia ndipo nikapewa idhini kupita kwa masimango.
Baada ya Project kukamilika heshima ilirudi pahala pake leo tunaishi kwa kutegemeana sana na Jirani yangu baba Muganyizi upande mwingine yupo Mwaisa Mzee wa Matripu hanaga ubaya na Mtu na Nyuma wapo Wasambaa wenye roho nzuri kabisa Baba Beka ingawa jamaa kwa kupeleka moto si haba mpaka nyumba ya pili mnapata salamu zake.
Nilichojifunza kwa majirani ili maisha yaende unapaswa kujishusha na ku act kama mjinga na mpumbavu wa mwisho, usiye mjuaji ili siku ipite ili mambo mengine unawapiga fimbo ile mbayaaaaa. Mf. Watoto wanasoma shule nzuri, Unamtunza na kumtamini mkeo na familia kwa ujumla, Gari nzuri nk nk at the end watakuelewa tu.
Kweli kabisa hapo kwenye kujishusha kama mjinga uku ukiwachapa fimbo ya kmaendeleo ndio bonge la njia ya kutengeneza heshima kwa nguvu.
 
Hahahahaahha stori nyingine zinakumbusha maajabu. Kuna kamama furani kalileta wote wakaombe kwa nyakati tofauti. Mchawi,baraka zake zikaenda na mtelezo. Baba paloko nae,hivo hivo, anapokuja kunyunyizia maji ya upako kwenye mji,baba mwenye mjengo yupo zake kazini,padre nae azazawadiwa. Sasa unajiuliza kama hao,hizo changamaji zitakosa?
Embu isome tena hii reply yako.. naona kama haija nyoka ume taka. kusema nini vile.
 
Moja ya sababu za changamoto ya ujirani hutegemeana sana wewe mwenyewe.
Umejenga nyumba kwenye kiwanja cha 20x30 , kila upande umebakiwa na kaeneo hata hatua 6 hupigi unakuta nyumba ya jirani, hil ni tatizo. Hapa hata kumfungia vioo huwez maana utaonekana una dharau.
 
Mimi alikuwa jamaa anahamia nyumba yake mitaa niliyopanga, sasa kufika mpaka lilipo geti lake kuna nyumba ipo barabarani na hio barabara ni ya huyo jamaa aliitoa tu watu wapite.
Siku ya kwanza ikapita kimya, after a week mke wa yule jamaa akamuambia mume wake, huyu mwanajeshi anapitisha gari lake.

Basi kesho asubuhi akamsubiri apite, alivyopita tu akamsimamisha akamwambia naomba hii njia ife sababu ni sehemu yangu halafu anaongea kwa nguvu. Yule mwanajeshi akasema haina shida ndugu alimjibu very humble.

Baada ya kama wiki kazaa yule mjeshi akamtuma mtu aongee na jamaa, yule mzee akagoma ikabidi mzee amfate kwake, akamwambia ndugu yangu naomba ninunue hii njia. Uwezi amini yule mjeshi alinunua ile njia kwa 2milion.
Na hakukataza mtu.

Baada ya muda yule mzee alikufa sababu alikuwa anakunywa sana pombe wanasema mapafu yalipata shida. Siku anazidiwa usiku wa manane walienda kumuomba usafiri yule mwanajeshi. Bila kinyongo jamaa alitoka usiku kumpeleka hosptali mpaka kwenye msiba jamaa alitoa maturubai yake.

Viumbe vzuri bado vipo duniani.
 
Mimi alikuwa jamaa anahamia nyumba yake mitaa niliyopanga, sasa kufika mpaka lilipo geti lake kuna nyumba ipo barabarani na hio barabara ni ya huyo jamaa aliitoa tu watu wapite.
Siku ya kwanza ikapita kimya, after a week mke wa yule jamaa akamuambia mume wake, huyu mwanajeshi anapitisha gari lake.

Basi kesho asubuhi akamsubiri apite, alivyopita tu akamsimamisha akamwambia naomba hii njia ife sababu ni sehemu yangu halafu anaongea kwa nguvu. Yule mwanajeshi akasema haina shida ndugu alimjibu very humble.

Baada ya kama wiki kazaa yule mjeshi akamtuma mtu aongee na jamaa, yule mzee akagoma ikabidi mzee amfate kwake, akamwambia ndugu yangu naomba ninunue hii njia. Uwezi amini yule mjeshi alinunua ile njia kwa 2milion.
Na hakukataza mtu.

Baada ya muda yule mzee alikufa sababu alikuwa anakunywa sana pombe wanasema mapafu yalipata shida. Siku anazidiwa usiku wa manane walienda kumuomba usafiri yule mwanajeshi. Bila kinyongo jamaa alitoka usiku kumpeleka hosptali mpaka kwenye msiba jamaa alitoa maturubai yake.

Viumbe vzuri bado vipo duniani.
Hahahah, Ila heshima huja kwa kuweka busara mbele.. huyo Mwanajesh ata cheo atapata kazin kwa urahisi maana hana ubabe wa kijinga bali amebarikiwa hekima.. ukifuatiloa utakuta ana cheo. na hicho cheo hupewi wajinga wasio na busara .ninamtabiria cheo kikubwa zaidi uko mbelen
 
Mim jiran yangu kachimba shimo kubwaaa nimemshitaki kaanza nitolea maneno ya laana nimemuambia tutanyooshanaa
Hivi sehem ya makazi inaruhusiwa kuchimbwa shimo kubwa na ni hatari kwa usalama
Bado najiuliza kachimba kwenye eneo lake au la uma? je amekusudia matumiz gan? maana kisheria kila mtu ana haki na eneo lake kwa maendeleo yake.. usije kuwa umechokoza kwa kumshtak.. vita za uchawi na hila zianze
 
Jirani yetu zamani alikua bibi mmoja wa kale kabisa.
Pale kwake alikua na ghorofa la wakoloni,si tumejenga hapo nyuma kwake na kuipata barabara lazima upite pale.
Sasa ye na mdingi walikua hawaelewani lugha.
Anampangia mdingi njia ya kupita na usafiri wake.
Mdingi afisa mipango miji yani anamletea mazereu ile kwamba "wewe nani nikitaka hapo kesho hata wewe unaondoka"
Kumbe ilikua sio utani,yule bibi onyo la kwanza,
Mzee kapita nalo palepale,kapiga mzinga mbele,onyo la pili mzee kasahau kapita tena palepale.kala mzinga mjini,onyo la tatu mzee kasahau kapita border yake ile ile kala mzinga kimoja.
Ndo kwaheri mpaka leo.
Cha ajabu mle kwa yule bibi nilikua nakatiza humo ndani sana tu,mapera yake naiba sana tu pale mbele kuna mwembe mkubwa mi naenda nachuma maembe yangu natoka baru mchana kweupe.
Hakunifanya lolote.
Ila kwa mzee ilikua tofauti.
 
Mimi alikuwa jamaa anahamia nyumba yake mitaa niliyopanga, sasa kufika mpaka lilipo geti lake kuna nyumba ipo barabarani na hio barabara ni ya huyo jamaa aliitoa tu watu wapite.
Siku ya kwanza ikapita kimya, after a week mke wa yule jamaa akamuambia mume wake, huyu mwanajeshi anapitisha gari lake.

Basi kesho asubuhi akamsubiri apite, alivyopita tu akamsimamisha akamwambia naomba hii njia ife sababu ni sehemu yangu halafu anaongea kwa nguvu. Yule mwanajeshi akasema haina shida ndugu alimjibu very humble.

Baada ya kama wiki kazaa yule mjeshi akamtuma mtu aongee na jamaa, yule mzee akagoma ikabidi mzee amfate kwake, akamwambia ndugu yangu naomba ninunue hii njia. Uwezi amini yule mjeshi alinunua ile njia kwa 2milion.
Na hakukataza mtu.

Baada ya muda yule mzee alikufa sababu alikuwa anakunywa sana pombe wanasema mapafu yalipata shida. Siku anazidiwa usiku wa manane walienda kumuomba usafiri yule mwanajeshi. Bila kinyongo jamaa alitoka usiku kumpeleka hosptali mpaka kwenye msiba jamaa alitoa maturubai yake.

Viumbe vzuri bado vipo duniani.
Viwanja vya dar watu wanauziana barabara
 
Mi kuna mmoja mpemba ........yaani usinunue sehemu jirani yako akawa mpemba kumqmqmke hawa mbwa ni wasumbufu balaaa........mpaka alinuzia njia ndio roho yaake ikatulia na hata hakuchukua muda alifariki kifo kibaya .............ila huyu mpumbavu wacha afe tu .......alitaka kuniua bila sababu kisa ninampita kimaendeleo ........mana niliamia pakiwa pagala baadaya ya miaka kama miwili pakawa paradiso...
...sasa yeye hiko kitu hakukitaka kabisa yaani marehemu asemwi vibaya ila huyu gegedu aongezewe moto tu hamnaa namna alinirushia majini ..........nilikuwa napagawa balaa mara mbavu kama zitachomoka kichwa kinauma kama sio changu.......hata kazini siendi .......ila mwenyezi alijua kunisaidia kwa hili maana jinga lilianguka chooni kwake na kufia uko uko........na walivokuwa wajinga waliliacha huko chooni masaa 10 baada ya kulipereka hospital wakaenda nalo kwa mganga ndio wakaalibu zaidi.........yaani walitoa boko .........ila mbwa yule na mke wake wangeshaniua kama miaka mitatu nyuma sema mungu alipinga mpango wao.......asante yesu kwa uwezo wako nilishinda vita ile.....maana nilikuwa natumia gari mpaka na gari ilikufa kifo kibaya lilihalibika tu bila sababu
 
Mi kuna mmoja mpemba ........yaani usinunue sehemu jirani yako akawa mpemba kumqmqmke hawa mbwa ni wasumbufu balaaa........mpaka alinuzia njia ndio roho yaake ikatulia na hata hakuchukua muda alifariki kifo kibaya .............ila huyu mpumbavu wacha afe tu .......alitaka kuniua bila sababu kisa ninampita kimaendeleo ........mana niliamia pakiwa pagala baadaya ya miaka kama miwili pakawa paradiso...
...sasa yeye hiko kitu hakukitaka kabisa yaani marehemu asemwi vibaya ila huyu gegedu aongezewe moto tu hamnaa namna alinirushia majini ..........nilikuwa napagawa balaa mara mbavu kama zitachomoka kichwa kinauma kama sio changu.......hata kazini siendi .......ila mwenyezi alijua kunisaidia kwa hili maana jinga lilianguka chooni kwake na kufia uko uko........na walivokuwa wajinga waliliacha huko chooni masaa 10 baada ya kulipereka hospital wakaenda nalo kwa mganga ndio wakaalibu zaidi.........yaani walitoa boko .........ila mbwa yule na mke wake wangeshaniua kama miaka mitatu nyuma sema mungu alipinga mpango wao.......asante yesu kwa uwezo wako nilishinda vita ile.....maana nilikuwa natumia gari mpaka na gari ilikufa kifo kibaya lilihalibika tu bila sababu
Hawa Wapemba wanalalamikiwa sana, kule Tandika wanalalua sana vijana bila sababu. Asikuone umesimama hata na binti yake ni kesi, fuatilia vichekesho vya MKOJANI utaelewa maisha halisi ya Wapemba yalivyo ni dizaini ile shari muda wooote
 
Back
Top Bottom