Williedm
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 505
- 138
mnazungumzia ulinz wa rais, sio wa mchezo yani ukitoa huyo mpambe,rais analindwa na watu wasiopunguza 80 na ambazo huwa wanaonekana ni kama 40 hivi, na walio bakia hao ndo invisible huwez watambua kama wapo,mpaka uone pukurushan utashangaa na kujiulza hii team imetokea wap!!!! ila mi nina mashaka sana na hii TISS yetu ilivyo,,