Mkuu wangu amenitisha kutopandishwa cheo

Mkuu wangu amenitisha kutopandishwa cheo

Jocasta

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
475
Reaction score
600
Habarini wanaJF.
Nimeajiriwa mwaka jana kama mwalimu wa secondary. Baada ya kama miezi mitatu kuna tukio lilitendeka japo sikuhusika ilionekana mimi ndo chanzo. Mkuu alikuwa mkali hadi akanitamkia "utabaki kuwa hivo hivo bila cheo chochote shuleni".

Niliumia sana na mpaka sasa inajionesha live, kwani ananidharau kweli. Nifanyeje waungwana na ndo nina mwaka mmoja kazini?
 
Sasa cha kujiuliza ni hivii
Je according to terms zako za ajira/mkataba wako wa ajira inajitaj muda gan upandishwe cheo? Ukipata jibu ,moja kwa moja nyoosha mpaka kwa afisa utumishi....
 
Mbona sikuelewi cheo gani unachozungumzia? Cheo cha madaraka eg Mwl wa taaluma etc au Cheo cha Muundo, kama cheo cha madaraka naamini anaweza kuzuia lkn cheo cha. Muundo umewahi sana kulalamika ninavyojua ni mpaka Uthibitishwe Kazini na uwe Job Kwa miaka 3!
 
Unakosea. Funguka kilichotokea ili tujue tuanzie wapi kwanza
 
Mbona sikuelewi cheo gani unachozungumzia? Cheo cha madaraka eg Mwl wa taaluma etc au Cheo cha Muundo, kama cheo cha madaraka naamini anaweza kuzuia lkn cheo cha. Muundo umewahi sana kulalamika ninavyojua ni mpaka Uthibitishwe Kazini na uwe Job Kwa miaka 3!
cha madaraka
 
Habarini wana jf.Nimeajiriwa mwaka jana kama mwalimu wa secondary,baada ya kama miezi mitatu kuna tukio lilitendeka japo sikuhusika ilionekana mi ndo chanzo.mkuu alikuwa mkali hadi akanitamkia "utabaki kuwa hivo hivo bila cheo chochote shuleni" niliumia sana na mpak sasa inajionesha live, pia ananidharau kweli.Nifanyeje waungwana na ndo nina mwaka mumoja kazini?

Da walimu wa siku hizi bwana. Yaani kuna walimu kazi yao ni kutongoza watoto wetu shuleni. Kuna vijana waliajiriwa mwaka fulani sasa wakawa wanatambiana kwamba umepelekwa mkoa ambao hauna mademu wazuri sijui watafundisha kweli hawa.
 
Back
Top Bottom