Mangaline
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 1,045
- 221
inapokuwa issue gani tunatofatiana umoja wetu na Utanganyika wetu????
katika maswala mengine yote yanayohusu uendeshaji wa taifa, na hasa Umiliki wa rasilimali za taifa, ikiwemo sera ya uwekezaji na urasimishaji wa rasilimali za taifa (hapo ninyi mna maoni tofauti na sisi. Baadhi wanaona wakipata nafasi ya kuongoza nchi watafanya vizuri zaidi ya wengine (ingawa hiyo ni dhana tu)