Mkuu wa Wilaya ya Serengeti afariki dunia

Pumzika kwa Amani Capt na ukumbuke kuiombea Tz na magumu pamoja na shida zinazotusonga
 
Kufa kufana...Bora Kafumu apate pa tukokea, RIP DC, poleni wafiwa
 
Sio aliyekuwa, kwani hd wkt anafariki, alikuwa bd ni DC Serengeti, kabla ya reshuffle alikuwa Maswa.
Na vp ghafla?
Kafia Muhi2, it means alikuwa anaumwa, kapewa referal toka lake zone hadi Dar, kafia Muhi2, halafu wadai ni ghafla?
Au alikuwa Dar kikazi,
akaanguka ghafla na kukimbizwa Hosp?
 
Linapotokea suala la Kifo, sisi sote ni watanganyika, tuache tofauti za kisiasa. Poleni sana Wana Serengeti, Poleni sana watanganyika, RIP DC.
 
Pole sana wafiwa kazi ya mungu.

Pole zao aise ila inaweza asiwe Mungu kuta ni majini ama Madaktarii wamemalizia vipi hakuwa na kihelehele na mgomo wa madaktar? maana wanataka magamba wakifika tu muhumbili wanawamaliza....
 
Linapotokea suala la Kifo, sisi sote ni watanganyika, tuache tofauti za kisiasa. Poleni sana Wana Serengeti, Poleni sana watanganyika, RIP DC.
inapokuwa issue gani tunatofatiana umoja wetu na Utanganyika wetu????
 
Mkuu wa wilaya ya Serengeti Afariki dunia.
Anaitwa Captain mstaafu James Charles Lyamungu.
Source ITV


R.I.P LYAMUNGU lakini amekuwa mkuu wa Wilaya Muda Mrefu kweli, toka niko PS juzi juzi alikuwa anaongelea kupambana

Na Ujangili naona ni GHAFLA... Nchi yetu tuanze kupenda kuhudhuria HOSPITALI Mara kwa Mara...

Oh najua Hospitali zipo Madaktari serikali ilifukuza... HATARI TUNAHITAJI KUWA NA GOOD HEALTH...
 
Sio aliyekuwa, kwani hd wkt anafariki, alikuwa bd ni DC Serengeti, kabla ya reshuffle alikuwa Maswa.
Na vp ghafla?
Kafia Muhi2, it means alikuwa anaumwa, kapewa referal toka lake zone hadi Dar, kafia Muhi2, halafu wadai ni ghafla?
Au alikuwa Dar kikazi,
akaanguka ghafla na kukimbizwa Hosp?

Unajifanya unakijua kiswahili wakati hujui chochote. Kwa kukusaidia fuata hii link usome headline yake,

BBC Swahili - Habari - Mwili wa Zenawi umewasili Adis Ababa

Na kuhusu kufariki ghafla, kwa taarifa yako, mtu anaweza akafariki akiwa hospital and still akawa amefariki ghafla. Sina muda wa kufundishana Kiswahili hapa kwakuwa elimu yangu sikuipata bure. Acha nishai zako.
 
Nakumbuka huyu alikuwa DC wa Kinondoni mwishoni mwa miaka ya 80, na baadae Tabora mjini mwaka 1992 to 1996. Kalale pema peponi Capt. James Yamungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom