aisee JK wetu atakua busy sijui ataanzia msiba wa DC wake au atawahi ethiopia...Poleni kwa wafiwa
Ndio Huyu Haswaa!!ndo huyu aliye amuru makazi ya watu yachomwe ? dah roho ilale mahali pema
aisee JK wetu atakua busy sijui ataanzia msiba wa DC wake au atawahi ethiopia...Poleni kwa wafiwa
Mkuu wa wilaya ya Serengeti afariki dunia katika hospitali ya taifa, Muhimbili. Mkuu wa mkoa wa mara bwana John J Tuppa ametoa taarifa hizo kwa waandishi wa habari. Captain James Charles Lyamungu aliugua kwa mda mfupi na taarifa za kifo chake zitatolewa na ikulu.
R.i.p gamba
Mkuu nafhani ni Yamungu siyo Lyamungu. Huyu amekuwa mkuu wa wilaya kwa miaka mingi tu. RIPRIP Captain James Charles Lyamungu
Gamba ni gamba 2 kwa hyo R.I.P GAMBAkuna kiumbe hai kinaishi majini na nchi kavu kinaitwa kenge.,ndio wewe
Sio Sengerema mkuu ni SerengetiRIP- Sengerema DC
that is only word i can say momently.
Pole sana wanaserengeti tumepoteza jembe R.I.P. Capt.
Kafumu aanza kupiga jalamba!
Kufa kufana. Bora Kafumu apate pa tukokea, RIP DC. Poleni wafiwa
Dr Kafumu atambadili baada ya kuvuliwa ubunge,so magamba msihofu.
Kafumu atashka nafasi