Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,127
- 174,005
Za kuambiwa changanya na za kwako na hio ndio maana yake.DC kaugua kwa muda mfupi; naomba mniache niweke ujumbe wa vifo vya Ndassa, Mahiga na huyu DC wa Nyang'wale. Hawa wamekufa baada ya KUJIFUKIZA NA KUBANWA PUMZI.
Kujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
Tumewapoteza wafuatao kizembe kabisa baada ya kuharibu njia za hewa kwa kukifukiza.
1. Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera Bwana Pendo
2. Mbunge Richard Ndassa
3. Waziri Dkt. Mahiga
4. Huyu DC wa Nyang'wale
Pia kuna jopo la watu kibao wamenusurika kufa kutokana na janga hili!
Cha ajabu mtu anayekupa ushauri huo yeye katuma mzigo ufuatwe toka kwa babu wa madagascar🤣🤣🤣