Mkuu wa nchi ndani ya Irish Pub

angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:

11_09_hmaerh.jpg Huyu hamna kitu, Obama ana haki ya kula bata baada ya kazi nzuri na sio huyu msanii.
 
Alini-bore alivyomgwaya Netanyahu juzi. Marekani kwa Israel ni kama JK kwa RA!

Mzee ile ngoma ilikuwa nzito na baadaye Netanyahu aliunguza LIVE kwenye Bunge lake Jana alikuwa anapigiwa makofi kila dakika na msimamo kauweka Obama hawezi kugusa pale pa moto kaka
 
Kikwete anacheza mpira wa Miguu vizuri kweli, Kikwete pamoja na kupenda wanawake hanywi pombe kabisa...

angekuwa anakunywa walahi angekuwa 'zezeta',maana km kweli kile kichwa ni pure hamna kilaji na hakuna 'kitu',hakyanan sipati picha km angekuwa anakata kilaji..!
 
Kama mtu anafanya kazi inayoonekana hana budi kujiburudisha baada ya kazi.
Hivi huyu wa kwetu akienda kuburudika anaweza kutuonesha alichofanya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom