angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:
angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:
Huyo anajiburudisha baada ya kuonekana kwa kuanza kunyanyuka kwa uchumi wa marekani. Anastahili kujipongeza. HIvi JK alipokea Nchi toka kwa mzee mkapa ikiwa bora kuliko ilivyo, angejipongeza kwa lipi zuri alilolifanya.
Alini-bore alivyomgwaya Netanyahu juzi. Marekani kwa Israel ni kama JK kwa RA!
Alimgwaya au alimuudhi? Labda mimi nilipata taarifa tofauti
angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:
angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:
angekua JK hapa tungelalama mwaka mzima!!:dance:
Kikwete anacheza mpira wa Miguu vizuri kweli, Kikwete pamoja na kupenda wanawake hanywi pombe kabisa... Yeye ni Juice I recomend him for that i can say he's classy na sio muislam fundamentalist, socially he's the best Tanzania ever had... hana tatizo marafiki zake kunywa pombe...
I like that about him...