Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Taarifa kutoka Bukoba,nilizopenyezewa na mdau mmoja aliyeko huko ni kuwa mkuu wa mkoa amelazimika kuhama katika nyumba iliyoko IKULU ndogo ya Bukoba kumpisha mke wa JK anayefanya ziara ya kichama mkoani humo.
kwa mjibu wa taarifa hizo ni kuwa RC mohamed babu amehamia katika nyumba iliyoko pembeni mwa ikulu hiyo.
salma yupo mkoani kagera akimbea kura ccm nk
kwa mjibu wa taarifa hizo ni kuwa RC mohamed babu amehamia katika nyumba iliyoko pembeni mwa ikulu hiyo.
salma yupo mkoani kagera akimbea kura ccm nk