JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..Hebu msikilizeni Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Geita.
..Is he OK?
..ameanza hotuba yake na salamu ya Bwana Yesu Asifiwe.
..hakutambua uwepo wa waumini wa dini nyingine mfano Waislamu.
..it is as if alikuwa ktk mkutano wa Walokole.
..sasa alichokisema baada ya " Bwana Yesu asifiwe.." kina matatizo na ukakasi kuliko salamu zake kwa viongozi na wananchi.
..Nimeweka video hapa chini.
..Is he OK?
..ameanza hotuba yake na salamu ya Bwana Yesu Asifiwe.
..hakutambua uwepo wa waumini wa dini nyingine mfano Waislamu.
..it is as if alikuwa ktk mkutano wa Walokole.
..sasa alichokisema baada ya " Bwana Yesu asifiwe.." kina matatizo na ukakasi kuliko salamu zake kwa viongozi na wananchi.
..Nimeweka video hapa chini.