GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,252
- 110,834
Kama alilonalo Aliyekuzaa.Wewe popoma huwa naheshimu mtu bila kujali kazi yake. Kama unaheshimu mtu kwa kuangalia kazi yake basi una tatizo la akili.
Kama alilonalo Aliyekuzaa.Wewe popoma huwa naheshimu mtu bila kujali kazi yake. Kama unaheshimu mtu kwa kuangalia kazi yake basi una tatizo la akili.
Hata chini ya hapo, mwaka 1964 Mirisho Sarakikya alipandishwa kutoka Captain hadi Brigedier na kupewa U CDF, Abdallah Twalipo mwaka 1978 alikuwa Major GeneralHivi Tanzania tushakuwa na CDF lt General?
Siyo Kamocha au Nakawa?Inategemea nipo Kampala Uganda wapi na nafanya nini. Na ukijua nafanya nini huku utaanza Kuniheshimu Milele sawa?
Rubbish....!!Siyo Kamocha au Nakawa?
Futi moja?Makomandoo waliosotea mafunzo na kuhitimu wanao huo uwezo wa kujirusha mkuu, Ila kwa hawa wa kupewa ukomandoo kwa hisani huwa hawawezi kuruka hata futi moja.
Poleni sana Wakenya wote.Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani.
Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za awali zinadai ndege hiyo ya Kijeshi ilikuwa imebeba watu 9, na imewaka moto baada ya kudondoka hivyo kutilia hofu usalama wake.
Rais William Ruto ameitisha kikao cha dharula cha Baraza la Usalama wa Taifa.
Taarifa zaidi zitakujia hivi Punde.
Citizen TV
======
A BRIEF BIO OF THE KDF BOSS CDF OGOLLA
Gen Francis Omondi Ogolla joined the Kenya Defence Forces on 24 April 1984 and was commissioned as 2nd Lieutenant on 6 May 1985 and posted to Kenya Air Force
He trained as a fighter pilot with USAF and as an instructor pilot at the Kenya Air Force (KAF).
He also trained in other fields including imagery intelligence, counter terrorism and accident investigation
Gen Francis O Ogolla is a graduate of ÉcoleMilitaire de Paris and National Defence College of Kenya
He holds Diploma both in International Studies and Military Science from Egerton University, a Bachelor of Arts in Political Science, Armed Conflict and Peace Studies (First Class Honors) and Masters of Arts in International Studies from the University of Nairobi
He rose through ranks to become a Major General and appointed the Commander Kenya Air Force on 15 July 2018 a post he has served for three years
Previously he has held various appointments in Training, Command and Staff including Deputy Commander Kenya Air Force, Base Commander laikipia Air Base, Commanding Officer of Tactical Fighter Wing, Chief Flying Instructor at Kenya Air Force Flying Training School and Operations Desk Officer at Kenya Air Force Headquarters
He also served in the former Yugoslavia as an Observer and Military Information Officer from 1992 to 1993, as chairman of Military Christian Fellowship from 1994 to 2004 and co-Chair of Association of African Air Chiefs between 2018-2019
He is married to Aileen, and blessed with two children and a grandson. His hobbies include reading and playing golf.
---
UPDATES
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Luteni Jenerali Francis Ogolla amefariki Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Luteni Jenerali Francis Ogolla amefariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi iliyotokea leo Aprili 18, 2024 baada ya kupaa kutoka eneo la Kaben, Marakwet.
Rais William Ruto ametangaza kifo hicho na kueleza, mbali na CDF Ogolla aliyechukua nafasi hiyo Aprili 28, 2023, wengine waliokuwa kwenye Helikopta hiyo ni Maafisa kadhaa wa Jeshi ambao nao wamepoteza maisha.
Rais Ruto alimpandisha cheo Luteni Jenerali Francis Omondi Ogolla kuwa Jenerali na kumteua kuwa CDF akichukua nafasi ya Jenerali Robert Kariuki Kibochi aliyemaliza muda wake.
Apumzike kwa amani
Was it natural death?Hii ajali imenikumbusha General Bipin Rawat, CDS wa India, aliyekufa kwenye ajali ya helikopta.
Too late hata ukiongeza ziwe Ten Star hazitasaidia, kishakufa malalamiko mengine hayana tijaIvi mbona jamaa sio four star General wakati ndo CDF? au Kenya wana utaratibu tofauti?
Ile Mil ilimuua na India wanapata ajari sana za helicopters. Mazingira yao ya kijiografia na strict training runs zinachangia. Pamoja na servicing mbovuHii ajali imenikumbusha General Bipin Rawat, CDS wa India, aliyekufa kwenye ajali ya helikopta.
Duh, helicopter ikianguka manusura huwa wachache au hakuna kabisa
Asante kwa real confession...Asante kwa ufafanuzi huo, kama hao viongozi wakubwa wa jeshi hawajafa ni mda wao wa kufa haujafika tu ila watakufa tu
Lakini hata uwe jemedari kiasi gani lakini kama kuna hujumu au ajali inatokea na vifo hakuna ujanja
Miaka ya nyuma tulivamiwa na nchi jirani (sio Africa)
Tulifuatana na baadhi ya watu ila tulitawanyika kila mmoja kuogopa kifo
Nilijizika kwa mchanga nikiwa hai na kukwepa adui
Ila wengine walikufa, sio bahati bali siku hazijafika tu
Mengi nakubali ila kifo hakikwepeki mda ukifika
Maswali mengi kama yepi?Ngoja tusubiri taarifa rasmi kutoka Ikulu ya Kenya, lakini eneo alikopatia ajali linazua maswali mengi.