Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

Status
Not open for further replies.
mpe japo mfano wa 2008 visiwa vya comoro
mambo ya jwtz
comoro..

askari wa jeshi la wananchi tanzania (jwtz) akiwa ameshikilia silaha nzito ya kivita katika kisiwa cha moheli nchini comoro.


tatizo wengi wanaotetea mauaji ya raia wa drc hapa wameokotwa kigali kiushabiki zaidi na hawana uelewa wowote , watakuambia huyo nia askari wa rwanda wakati wa vita ya kumwondoa mobutu madarakani.
 
Source Please,usituletee habari za kizushi hapa,
 
tatizo watu wapo huku kwa kuagizwa, hawajui hata maana ya article 6 na tofuti iliyopo na article 7

ehe, hebu saidia hapo mkuu. aticle 6 inasemaje, na aticle 7 inasemaje? jf uzuri wake shule.... hem saidia hapo ndugu.
 
Wa Tz ni watu waajabu sana! Si mlisema wanajeshi wa tz hawaendi kupigana bali kulinda amani!

Mkuu, hizi ni mission mbili tofauti. Wale wa Congo wanamandate ya kushambulia hata kama hawajachokozwa, ila wale ni sudan watajibu mapigo kama wakianzwa. Jerea mazimmio ya UN kwenye hizi missions
 
Not confirmed, na habari hii ya kujeruhiwa Sultan Makenga huenda sio kwenye vita hii ya sasa. DRC Rebels Deny their leader has been wounded
 
ametangulia bado mwigulu atafuata tu.
 
Hata akifa kwa typhoid ....
 

Mkuu Umeongea kiuzalendo hadi umenifurahisha.
 
Bwana kagame just be ready war is coming soon. Wewe si uliambiwa mkae na nduguzo ili yaishe ukatunishe msuli. Zamu inakuja umeyataka mwenyewe. Mdomo uliponza kichwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Mkuu labda walioko DRC ni peace enforcers na siyo peacekeepers. Walioko Sudan ni peacekeepers.
 
Mdomo ulinzo kichwa bwana kagame omba msamaha kwa kikwete vinginevyo ngoma hii itapigwa live ndani ya ikulu ya kigali
 
Koba ndio mletaji habari khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee muulizeni.

hahahahaha umenifurahisha sana, yule lazima akanushe hii habari au atajitetea kwa namna yoyote.
 
Hii ndio JF mkuu, watu hatujuani humu wengine ni vyanzo vya taarifa.!!!

Mimi ni muda sana nimewapa heshima yao wana_Jf, ni kweli kabisa ulivosema kuwa humu ndani kuna vyanzo vya taharifa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…