Siyo vizuri kumuombea mtu kifo, lakn kama ingetokea bora wangemuua yule wa Arusha anayetorosha majangili au IGP ambaye pamoja na kulalamikiwa na kagasheki bado hajachukua hatua yeyote.Wangemuua kabisa!!..
Siyo vizuri kumuombea mtu kifo, lakn kama ingetokea bora wangemuua yule wa Arusha anayetorosha majangili au IGP ambaye pamoja na kulalamikiwa na kagasheki bado hajachukua hatua yeyote.Wangemuua kabisa!!..
ndugu ni vigumu kupata picha na habar kwa sasa kwa mapigano ya vijijini na netwok ni tatizo kiukwel mji wa songe upo vizur tu watu wapo kwenye kaz zao na kikubwa ni huzuni tu na kuombea mkuu huyu apate nafuu ni mtu safi sn anayejal sn kaz na utu bado anaumri wa kat tu mungu amponye nguvu ya taifa
Sio wanajeshi,ni kikundi cha watu takribani 200 walikuwa wanafanya mazoezi ya kijeshi...
Serekali iwe makini uhasi unanukia Tanzania..
sawa mkuu APMS asante kwa hii update, tunachojiulzia wengi wetu hapa imekuwaje watu takriban 80 wanafanya 'mazoezi ya kijeshi' porini bila vyombo vya dola kujua, hawa watu ni kina nani na lengo lao ni nini hasa?
ni kikundi halali au kundi haramu? Ni mazoezi ya faida kwa taifa au yakuangamiza taifa? Na kwa nn walifikia ha2a ya kupambana na polisi? Au polisi walienda kufanya nn kwenye mafunzo yasiyowahusu?sio wanajeshi,ni kikundi cha watu takribani 200 walikuwa wanafanya mazoezi ya kijeshi...
Serekali iwe makini uhasi unanukia tanzania..
Mkuu usiwe mgumu kuelewa kwamba barafu huyeyuka juani penye joto..intelijensia ya PoliCCM hufanya kazi ktk medani za siasa dhidi ya wapinzani na wasiokuwa na pesa tu na si vinginevyo.Intelijensia...
Inakuwaje vyombo vya ulinzi havipeani taarifa mpaka kufikia hatua ya kugongana kiasi hiki.
Inakumbusha yule ocd wa Hai Kmanjaro alivyopgwa mshale na polisi jamii usiku.
tores unaeleweka hawa wengne hafunguki. Fatilia then funguka zaidi mkuuhii habari nadhani itv wamewahi kuirusha ili waonekane kuwa wa kwanza kuripoti tukio hil. Nina uhakika kuna kitu kingine ambacho kinafichwa hapa hadi kupelekea huyo mkuu wa kituo kupigwa risasi.
Mtu aliye maeneo ya huko karibu na kwenye tukio alinitaarifu kuwa kuna mgambo mmoja amechinjwa, wauaji wa huyo mgambo ni kikundi fulani cha dini. Tusubirie kidogo baadae tutapata habari nzima nzima.
We dogo vpi leo. !?
Tanga inakuja juu vizuri sana, juzi kule Lushoto Vijijini walimpa kipondo cha kutosha yule Afsaa wa Polisi baada ya kummua raia asiye na hatia........inatia moyo
Tanga inakuja juu vizuri sana, juzi kule Lushoto Vijijini walimpa kipondo cha kutosha yule Afsaa wa Polisi baada ya kummua raia asiye na hatia........inatia moyo