Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

punde mtasikia red brigade wanahusika.
polisi wako bussy na magendo
 
Juzi ilikuwa zamu ya Mkuu wa upelelezi wilaya ya Lushoto na leo imekuwa zamu ya Mkuu wa kituo wilaya ya Kilindi.
Naona Tanga ''wanakuja juu'' kwa taratibu lakini kwa uhakika!
 
Juzi ilikuwa zamu ya Mkuu wa upelelezi wilaya ya Lushoto na leo imekuwa zamu ya Mkuu wa kituo wilaya ya Kilindi.
Naona Tanga ''wanakuja juu'' kwa taratibu lakini kwa uhakika!

mkuu Mwita Maranya watawapiku sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
Tanga inakuja juu vizuri sana, juzi kule Lushoto Vijijini walimpa kipondo cha kutosha yule Afsaa wa Polisi baada ya kummua raia asiye na hatia........inatia moyo

We dogo vpi leo. !?
 
Mkuu wa kituo cha polis Wilaya ya kilindi amejeruhiwa kwa risasi na kikundi cha watu waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi.
Mkuu wa kituo hicho ni Insp. Lusekelo.
Kwa sasa yuko Bombo kwa matibabu zaidi na kikundi hicho kina watu wanaokaribia 80 wamerusha risasi angani kwa usiku mzima.

Radio one.

Waache upumbavu.. waseme kweli... yasiwe yaleyale ya akina sharo Barlow
 
Tanga inakuja juu vizuri sana, juzi kule Lushoto Vijijini walimpa kipondo cha kutosha yule Afsaa wa Polisi baada ya kummua raia asiye na hatia........inatia moyo

Umenichekesha
Eti
Tanga inatia moyo
 
Mmmh, hii ni hatari na si habari ya kupuzia au kubeza hata kidogo. Kuna maswali mengi kuliko majibu. Je, ni mazoezi ya moja ya vikosi vya majeshi ya ulinzi na usalama? Kama ni hivyo, inakuwaje, hawana mawasiliano na polisi wa eneo husika? Je, ni vikundi vya 'kigaidi'? Bila shaka intelijensia watakuwa la kusema katika hili.

Mkuu wa kituo cha polis Wilaya ya kilindi amejeruhiwa kwa risasi na kikundi cha watu waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi.
Mkuu wa kituo hicho ni Insp. Lusekelo.
Kwa sasa yuko Bombo kwa matibabu zaidi na kikundi hicho kina watu wanaokaribia 80 wamerusha risasi angani kwa usiku mzima.

Radio one.
 
Inakuwaje vyombo vya ulinzi havipeani taarifa mpaka kufikia hatua ya kugongana kiasi hiki.

Inakumbusha yule ocd wa Hai Kmanjaro alivyopgwa mshale na polisi jamii usiku.

Umesahau kuwa na sisi tunataka tuwe na majeshi tofauti na nyenye kuwindana?
 
Da cwez kuamini watu wa tanga n wapole nawajua tangu nasoma Mkwakwani pr na Usagara sec nini kimewasibu na kuwa na munkar dhidi ya polis?
 
Tafadhali tuhabarishe mkuu hii hatari sana

ndugu ni vigumu kupata picha na habar kwa sasa kwa mapigano ya vijijini na netwok ni tatizo kiukwel mji wa songe upo vizur tu watu wapo kwenye kaz zao na kikubwa ni huzuni tu na kuombea mkuu huyu apate nafuu ni mtu safi sn anayejal sn kaz na utu bado anaumri wa kat tu mungu amponye nguvu ya taifa
 
Wametengeneza nadharia za Ugaid sasa imekuja kwa vitendo wanaweweseka!
Joseph 30 aliwaambia na kuwapa ushahidi wa CD za yanayojiri chuo kikuu cha Dodoma, maccm yakamrukia nusura yammeze kisa ni Chadema, badala ya kufanyia kazi zile cd akina Chagonja wamerelax na kujifanya kuchunguza mambo ya bomu la Arusha ambalo liko wazi kabisa mhusika ni Mwigulu. Sasa waache waone mziki wake!
 
Back
Top Bottom