Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

Intelijensia iko busy na Chadema, hivi hamuoni mnapoteza muda kushughulikia vitu visivyo na msingi?? si ajabu tutasikia alshabab wako humu humu dsm na hamjui.

...wapo mpaka humu jf!
 
wanajamvi mi npo kilindi pia ni chanzo cha vurugu ni migogoro ya watu inasemekana wanapnga kulipa ushuru wa iliki wakamuuwa mgambo ndio polisi kwenda na majanga kwa kamanda nimpiga kazi mnzur sn mungu mponye occ amen
 
wanajamvi mi npo kilindi pia ni chanzo cha vurugu ni migogoro ya watu inasemekana wanapnga kulipa ushuru wa iliki wakamuuwa mgambo ndio polisi kwenda na majanga kwa kamanda nimpiga kazi mnzur sn mungu mponye occ amen

Hao raia wanaopinga ushuru wa Iliki ndo wanamiliki bunduki na waliweza kulenga shabaha kwa mkuu wa polisi wilaya??
 
inamaana kituo cha polisi kipo kwenye uwanja wa mazoezi au jamaa alikuwa kwenye mambo yake?
 
babalao sjakuelewa mkuu ni wanajeshi walikuwa wanafanya mazoez ya kijesh au ni watu tu wana miliki hzo slaa na kufanya mazoez ya kijeshi

Mkuu mpaka sasa inasemekana ni kikundi kisichohalali na walikuwa zaidi ya 80 na silaha za moto.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi katika nchi yetu kuna uhasama mkubwa sana kati ya raia na Polisi,Mimi mwenyewe kama raia wa Tanzania sina imani na Jeshi letu la Polisi na kwanza siwapendi kabisa Polisi,Hayo yote yamesababishwa na uongozi Dhaifu uliopo madarakani..... Wameruhusiwa akina Mwigulu Nchemba kutukosanisha na Polisi na wamefanikiwa,sasa tumekosana na Polisi,siwahurumii hata kidogo Polisi wa Tanzania acha wapigwe tu...........!
 
Cheka na Nyani uvune mabua, Hyo operesheni kimbunga inafanya nini sasa??
 
Mkuu wa kituo cha polis Wilaya ya kilindi amejeruhiwa kwa risasi na kikundi cha watu waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi.
Mkuu wa kituo hicho ni Insp. Lusekelo.
Kwa sasa yuko Bombo kwa matibabu zaidi na kikundi hicho kina watu wanaokaribia 80 wamerusha risasi angani kwa usiku mzima.

Radio one.
Mimi nalia na Mkuu wa kaya,amelazia damu mambo mengi sana kwa style ya ni 'upepo' utapita na sasa ndio kama hivyo ...
 
Hao lazima ni magaidi jamii ya alishababy
 
Hao raia wanaopinga ushuru wa Iliki ndo wanamiliki bunduki na waliweza kulenga shabaha kwa mkuu wa polisi wilaya??

Ndugu huku silaha ni nyingi tu tena kali sio za asili kwani unafahamu jamii za kifugaji na uwindajo silaha kitu cha kawaida
 
Back
Top Bottom