Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

Mkuu Wa Kituo Apigwa Risasi.

Green Guard chini ya kamanda wao shupavu Mwigulu Nchemba walikuwa mazoezini
 
Potelea mbali, ikibidi kushabikia machafuko na iwe hivyo, kuliko kuendelea kuunga mkono uonevu na ujinga.
Watu walipoandamana waliita ugaidi, wakatengeneza matujio ya kigaidi wao wenyewe ili wawabambikie wengine bila kujali damu isiyo na hatia ilivyomwagika.
Maji hufuata mkondo, matukio ya kweli yamekuta rutuba nzuri ndani ya Tanzania, kwa nini yasistawi?
Mliwachekea sana watu fulani walipokuwa wakihubiri ugaidi huku wakiwapachika wenzao huo ugaidi, hakuna aliyekemea tabia hii ya kumtaja 'Nyoka' usiku.
Pole Ispector Lusekelo.

mkuu hata hueleweki!
 
Wa kulaumiwa ni Waziri mkuu Pinda,na hii ndio hasara ya viongozi wasiotafakari kabla ya kutamka
 
mPWA HUJUI HII INCIDENCE NDIO MAANA, HOW COME pOLISI WAENDE KIJIJINI, i KNOW THE VILLAGE NA NINAMAANISHA vILLAGE HASWA NA BASTOLA BADALA YA KUSUKUHISHA MGOGORO WEWE UNA SIDE NA UPANDE WA MDHUMAJI!!! Do you think hawa watu hawana akili au?? Ndio yaliyompata askari huyu..... I congratulate them maana wanapenda sana rushwa askari wetu. Thank you once again Wasambaa na Wammbugu
Unasema inatia moyo! Mkuu nakushangaa sana! Inavyoonyesha hujawahi kuvamiwa na majambazi au kushuhudia machafuko ya kigaidi! Badala ya kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kupambana na ugaidi we unashangilia! Nakuombea siku moja ukumbane nao ndio utajua umuhimu wa polisi!
 
Niko vizuri tu kijana wa zamani, sema neno! Nilifurahi sana kuona afsaaa wa polisi anakula kipondo cha mbwa mwizi. Wambugu Nouma wewe
CC: CHAMVIGA

Teh teh teh huyo atakuwa amegusa ng'ombe wetu wasichungwe kwenye maeneo yao. wereweeee!
 
Last edited by a moderator:
Vijijini wanabadilika na kujanjaluka, DSM mnazidi kunyanyaswa na kuonewa, na kama alivyo sema PINDER lazima mpigwe tu, mtapigwa sana, maana mmekataa kuwapiga wao

Kazi tunayo kama polisi wanakimbizwa na polisi jamii ni hatar
 
The input is equals to the output. Wangemwua tu kama baro
 
mkuu wa kituo cha polis wilaya ya kilindi amejeruhiwa kwa risasi na kikundi cha watu waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi.
Mkuu wa kituo hicho ni insp. Lusekelo.
Kwa sasa yuko bombo kwa matibabu zaidi na kikundi hicho kina watu wanaokaribia 80 wamerusha risasi angani kwa usiku mzima.

Radio one.

alshabaab at work
 
mkuu wa kituo cha polis wilaya ya kilindi amejeruhiwa kwa risasi na kikundi cha watu waliokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi.
Mkuu wa kituo hicho ni insp. Lusekelo.
Kwa sasa yuko bombo kwa matibabu zaidi na kikundi hicho kina watu wanaokaribia 80 wamerusha risasi angani kwa usiku mzima.

Radio one.

vita ya wakulima na wafugaji wa jamii ya kimasai inanukia. Intelijensia imelala, au ndo alikuwa undercover?
 
Ni wakati muhimu tujitathimini na kuchukua hatua madhubuti kwa ajili ya uinzi wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom