Mkuu acha uongo huyo mtoto anaitwa fahmy babake anaitwa salah anaishi china.. babake ndiye mmiliki wa silent ocean road haulage ni tawi la Home Shopping Center.. said mmiliki wa home shopping ni babake mkubwa na huyo dogo
mmiliki ni Said wewe Sallah ni mdogo mtu. inawezekana ni mwanae lakin sio kwa mke wake wa ndoa. coz huyo dogo katoka kusoma juz kati India ndio amekabidhiwa mikoba ya ofisi china ndio akaja kuoa. b4 alikuwepo Abdallah huko.
Ndio huyu alikuwa anapiga maphoto na Mzee Wa kaya kwenye mechi kati ya real Madrid vetenary na tsn
Hapo kwenye red bado sijakuelewa.
Kwani huyo mtoto hawezi Kumwita mkuu wa kaya Baba mkubwa kwa heshima?Mkuu acha uongo huyo mtoto anaitwa fahmy babake anaitwa salah anaishi china.. babake ndiye mmiliki wa silent ocean road haulage ni tawi la Home Shopping Center.. said mmiliki wa home shopping ni babake mkubwa na huyo dogo
Kwani mr. president ana watoto wangapi?
Uko sahihi mkuunasisitiza tena na tena,macho yangu yanaona mtoto kafanana na marehemu EUSEBIO,picha angalieni post no 30
jk amezidi sasa
shule gani? ivo mwaalabu?Kuna mtoto wake zanzibar nimesoma soma nae anaitwa alma
Sasa farky ! unanichanganya yupi baba ake Jr. huyu au Presida?Kweli kafanana nae sana utadhani ni baba ake
shule gani? ivo mwaalabu?
Sasa farky ! unanichanganya yupi baba ake Jr. huyu au Presida?