Mkutano wa wawekezaji - Rukwa

Mkuu jaribu kuangalia chanzo cha huu mkutano. Huu mkutano upo kwenye manifesto ya CCM ya uchaguzi ya mwaka jana. Sasa mwenzetu Zitto anatekeleza ilani ya Chadema au CCM?

Hata mimi Zitto simuhesabu kati ya watu makini, huyo ni opportunist.Kilichombeba Zitto hadi kufika alipo ni Zogo la Buzwagi ambalo haikuwa kazi yake pia ile iliibuliwa na Dr.Slaa yeye akakatiwa pande ndipo alipo toka hadi leo hana jipya zimebaki kelele kama mpiga filimbi wa HAMELINI.Kama ndiyo anajiandaa kushika nafasi kubwa hana chake CDM labda aende kwa wachovu CCM
 
Hata mimi Zitto simuhesabu kati ya watu makini, huyo ni opportunist.Kilichombeba Zitto hadi kufika alipo ni Zogo la Buzwagi ambalo haikuwa kazi yake pia ile iliibuliwa na Dr.Slaa yeye akakatiwa pande ndipo alipo toka hadi leo hana jipya zimebaki kelele kama mpiga filimbi wa HAMELINI.Kama ndiyo anajiandaa kushika nafasi kubwa hana chake CDM labda aende kwa wachovu CCM

hivi kabla hajaondoka na kuhudhuria mikutano kama hii anawasiliana na wenzake na kupewa baraka za chama?
 
Jamaa ni bigheaded sana, inaelekea hata Mwenyekiti wake hajui kama yupo Rukwa.

Zitto ni janga la kitaifa kwa CDM.CDM wanatakiwa kutumia intelijensia yao kujua uadilifu wa huyu dogo, amekuwa karibu sana na sera za CCM.Kama chama kimeweza kufukuza madiwani arusha .Ni vema watoe onyo kwa zitto tumechoka na kumbembelezwa kwake CDM, wamuacha akaungane na kina Lusinde a.k.a mzee wa kujinyonga
 
Zitto ni janga la kitaifa kwa CDM.CDM wanatakiwa kutumia intelijensia yao kujua uadilifu wa huyu dogo, amekuwa karibu sana na sera za CCM.Kama chama kimeweza kufukuza madiwani arusha .Ni vema watoe onyo kwa zitto tumechoka na kumbembelezwa kwake CDM, wamuacha akaungane na kina Lusinde a.k.a mzee wa kujinyonga

Zitto hatoki seminary ana akili za kujitegemea..ok
 
Tanzania iko mnadani inauzwa, wajukuu na vitukuu wataingiza hii kwenye historia ya nchi hii, kama tunavyosoma historia ya miaka ya 1856 enzi za akina sultani Mangungu.

Kama ni uwekezaji serious Kwa nini wasiende Moshi, Bukoba na Mbeya au hata Dodoma au Singida? Hawaendi huko shauri hakuna ardhi na kama ipo basi haina rutuba, tunafukuza waafrika wenzetu( kwenye makambi ya wakimbizi) ili kuwapa maeneo wazungu kwa mgongo wa wawekezaji.

Ukoloni unakolea
 
  • Thanks
Reactions: Ame
zitto amekuwa wa kwanza kuchangia presentations za mikoa ya Rukwa na Kigoma.Amechangia vizuri,juu ya mambo matatu.umeme,ofisi ya tic, na coordination ya uwekezaji ukanda wa ziwa Tanganyika.Zitto yuko pale km2ama mdau wa mkoa wa kigoma.na si vingivyo.si vema kumshambulia.
 
Jamaa ni bigheaded sana, inaelekea hata Mwenyekiti wake hajui kama yupo Rukwa.

Jamani mbona mnamsakama sana Zitto?? Ule ni mkutano wa uwekezaji kandokando ya ziwa tanganyika toka Kigoma hadi Rukwa ukiwemo mkoa mpya wa Katavi. Zitto ni mbunge toka Kigoma. Kwa hiyo kahudhuria kama mmoja wa viongozi toka mkoa wa Kigoma.
 
Leo zaidi ya miaka 100 baadaye ukoloni umefikia kiwnago cha juu zaidi badala ya wazungu kukaa nje ya afrika kuipora afrika, mikutano hiyo inafany6ika afrika ili kuwapora waafrika!

Utumwa mbaya kabis aambayo umewahi kumbuka mwanadamu ni utumwa wa kiakili

Tunadiriki kuwaita waje wachukue ardhi, maskini watawala wetu hawajui ni watu wangapi walinyongwa, waliteswa na kufungwa jela na wakoloni kwa ajili ya kutetea ardhi hii wasiichukue na baada ya kuchukuliwa kuikomboa. Leo tunaitoa sandakalawe amina.

Mashilatu nimekupa like moja ingewezakana ningekupa zaidi ya hiyo
 
While I share with you some of the sentiments, I think with globalisation, the one way to gain in investments is to check out such global companies and become a shareholder and monitor the investment strategically.

Mtu wa miraba minne aliyeshiba na mtu mdhoofu mwenye njaa watakulaje sahani moja, wanaweza ndio lakini atakayekula zaidi lazima ni yule mtu wa miraba minne
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sio kama watanzania hawawezi, ila kuna mtu/watu wameamua kwa niaba ya watanzania milioni 44 kuwa hatuwezi! Unforgivable!

true. Very painful but true.
I do not believe in international investment, that it can solve even half of our problems.
I think we the people can know what we we want and we can work towards it.
These people are rulers and not leaders. We have to do something.
 
jambo la kushangaza kapew mmraekani zaidi hekari 2500000 na atlipa kwa mwaka Tsh 700 @hekari ikiwa na mgawanyo Tsh 200 kwa halmashauri husik na Tsh 500 kwa serikali kuu
hii ni ujinga iliopita kiwango hakuna mwenye uchungu na nchii hii
chukua chako mapemaa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom