Zitto ni CCM! Kwani humjui?Zitto mnafiki
Kikwete vipi?
Mbona anatumia Kiingereza badala ya kiswahili? Mkutano umeandaliwa kwa lugha ya kiswahili
Marry nagu anasifia mikoa ya kigoma,rukwa kuwa imejiandaa na miundombinu na wako tayari kwa ajili ya wawekezaji...
hivi barabara za lami zishafika kule? umeme?
kikwete: world class utility companies failed in TZ because they didnt bring the world class managers in TZ....