Na Gari ya Mdee?
it is tru hyo ndo gari ya mnyika,mi nilishamwona nayo kibaha nikaghairi
Katibu MKUŪ MTARAJIWA wa chadema baada ya slaa kustaafu
Kumbe ndio maana hafiki Kimara Bonyokwa ama Kilungule kwa Mkuwa!Mkutano wa CDM hapa Manzese nimefurahishwa sana na aina ya gari alilotinga nalo Mnyika mkutano. Toyota Vits T341BEN. Edapo wabunge wa CCM nao wangetumia hizi gari. Barabara zingependeza sana.
Nami namkubali ila ananiangusha tu kwenye suala la posho.hongera mnyika kwa hilo nakupongeza kiongozi lazama uwe mfano wa kuigwa .
Ukaghairi nini? Kwani kabla ya kughairi mlikuwa mmekubaliana mfanye naye nini wee dada?