Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Mkutano wa CDM hapa Manzese nimefurahishwa sana na aina ya gari alilotinga nalo Mnyika mkutano. Toyota Vits T341BEN. Edapo wabunge wa CCM nao wangetumia hizi gari. Barabara zingependeza sana.
Sasa ulitemegea aende na gari gani pale manzese? Kaogopa kuibiwa.Mkutano wa CDM hapa Manzese nimefurahishwa sana na aina ya gari alilotinga nalo Mnyika mkutano. Toyota Vits T341BEN. Edapo wabunge wa CCM nao wangetumia hizi gari. Barabara zingependeza sana.
Hiyo aliwahi kuzungumza katika kipindi cha SuperMix East Africa Radio ameitoa rasmi kwa shughuli za kichama. Alinunua baada ya kupata ubunge. Ilipiga kazi sana Igunga.....na sasa imepiga kazi Arumeru Mashariki.Of koz ana Nissan Hardbody pia,ila uwa haitumimii mara kwa mara!
Ukaghairi nini? Kwani kabla ya kughairi mlikuwa mmekubaliana mfanye naye nini wee dada?it is tru hyo ndo gari ya mnyika,mi nilishamwona nayo kibaha nikaghairi
it is tru hyo ndo gari ya mnyika,mi nilishamwona nayo kibaha nikaghairi
it is tru hyo ndo gari ya mnyika,mi nilishamwona nayo kibaha nikaghairi