Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Watanzania wenzangu mi bado aijaniingia ama kama ntapata jawabu umuhimu wa kupeleka mkutano wa wake wa maraisi wa africa marekani ....hawa wote inaonekana wanapenda starehe sana sana ndio maana wakaamua hata kulikana bara lao la africa....swali langu moja mkutano wa wake za marais wa europe lini watakuja kuufanyia afriza;hivi mnafikiri hawajui ??kuna katanzania na kwingineko wanajua...very hard kwa kweli
nyie wama mkimaliza kuzitumia hizo per diem embu tafakarini je tungeufanyia mkutano wetu africa tungeloose kiasi gani...kila la kheri uingereza wamewakaribisha mwakani
nyie wama mkimaliza kuzitumia hizo per diem embu tafakarini je tungeufanyia mkutano wetu africa tungeloose kiasi gani...kila la kheri uingereza wamewakaribisha mwakani