Mkutano wa Lowassa Arusha Mjini Oktoba 8, 2015

Mkutano wa Lowassa Arusha Mjini Oktoba 8, 2015

Duuu!! Kumbe huwa show wanasubiria hadi wamalize kuhadaa watu ndo linapigwa ili watu wasiwakimbie!!!

Wana hali ngumu sana. Mbezi mwisho (Dsm) alipokuja Samia, watu walikuwa wanalisogelea jukwaa wasanii wakipanda, wakishuka watu wanasonya na kuendelea na shughuli zao.
 
PEOPLE OF A TOWN ARE SO BRIGHT,HAKUKUWA NA HAJA YA MKUTANO NGUVU KUBWA INGEPELEKWA SHINYANGA / MWANZA/ KIGOMA CLOSELY!!
house to house,street to streets!
 
Ila kwa nilichoona jana ccm walikuwa wanaongea kwa tahadhari kubwa sanaaa
 
....

....pesa tulizo piga jana ndo najazia mafuta Subaru mwamwayee full tank wajinga ndo waliwao Lowasssaaa!!!
Mimi nipo hapa mianzini nakula supu ya mbuzi kwasababu jana nimepiga hela kichizi!!!!! Jana walikuja kutuchukua huku kia tukapewa 15000 ya mahudhurio nikatoroka uwanjani nikaenda usariver wakaja kutubeba tena nikapata 15000 nyingine nikatoroka tena nikaenda karibu kiwanda cha A-Z wakaja kutuchukua tena nikapata 10000 nikatamani kampeni zisiishe nipige hela za escrow bila jasho
 
Pombe mwenyewe anacmama kwa dkk ngp? Kuna huyu domo acyezaa, wanawake wa tmk, yabaridi band, cha wote ant ezekiel, dadakaka ray na wasojijua kibao ndio anacmama pombe lile ni tamasha c kampeni mwambie ck moja ajaribu kufanya mkutano bila hao kama atapata watu mia wanaojitambua zaidi ya wale wa kwenye maroli mnaohama nao kila mkoa kila wilaya nyambavu zenu pale lumumba

ImageUploadedByJamiiForums1444190338.653800.jpg
 
Magufuli nilimsikia jana kwenye mkutano wake Arusha kuwa anawataka wagombea ubunge na waliokuwa wakirudisha kadi za CUF na CHADEMA, wasiendelee kujieleza kwani anataka kuwapisha wasanii jukwaani ili kutimiza malengo ya waliowengi.

Ina maana nyomi zile huwa zinalenga kupata burudani ya bure, wala sio kusikiliza sera za ccm.

Mabadiliko ni lazima.

Ni kwa nıni vodacom,Tigo na makampuni mengne yanatumıa wasanii na mizıki kwenye matangazo ya bıashara zao?Ni hv,hyo nı moja ya kazi ya sanaa.
 
Huyo Ndiyo Rais
Hakuna Drone Mix Wala Malori Kubeba Watu
 
Wa kutoa sera ni nani?Yule yule au mmeazima.Kuvuta watu kisayansı nı murwa zaidi kuliko kuvuta watu kwa uchawi na ushrikina.Moja ya kazi ya sanaa ya mziki nı kuhamasısha.Mwambıe Edo amrudıe Mungu,aache kuabudu mizımu ya Gwajima Tb Josh.

Wale wenye picha ya John na familia yake wakiwa kwa TB Joshua hebu wekeni hapa kuna watu hawako informed
 
Where? Shule ya sekondari ya Sino what? Kwa nini asiende Sheikh Amri Abedi? Au Mbauda mnadani? Au Sanawari? Wanataka wazimie tena! WM

..unawajua wamiliki feki wa Sheikh Amri Abeid, mkwakani na vingine?! wacha kuuliza viswali vyako feki hapa...
 
Wa kutoa sera ni nani?Yule yule au mmeazima.Kuvuta watu kisayansı nı murwa zaidi kuliko kuvuta watu kwa uchawi na ushrikina.Moja ya kazi ya sanaa ya mziki nı kuhamasısha.Mwambıe Edo amrudıe Mungu,aache kuabudu mizımu ya Gwajima Tb Josh.

Mtu asiyeweza kusema anachotaka kukisema kwa dakika moja, huyo mtu hajui kusema.
Ingekuwa maneno mengi huleta maendeleo, Tz tungekuwa mbali sana kimaendeleo.
Watu wenye porojo sio watenda kazi.
Anyways, Kuna uzi humu unaonyesha picha ya magufuli yupo karibu kabisa na TB Joshua.
ukiiona uje na mawazo mapya kuhusu uchawi na ushirikina wa TB Joshua.

Usihukumu usije ukahukumiwa.

Mabadiliko chanya ndani ya ccm hayawezekani.
 
Kwa dk ngapi?

Kwani kusema elimu bure, afya bora na maendeleo ya viwanda inahitaji dk ngap kwani we kusoma hayo niliyoyaadika umetumia dk ngapi watanzania bwana kama hajatumia vitabu vikubwa vyenye notes kibao anaona hajasoma bado
 
walishajua sheikh amri abeid haitoshi wakatafuta mahala pa wazi
 
...pamoja kamanda imetulia sana !!!!!
jamani kuna watu wapumbavu eti wantaka mtu anayeongea mda mrefu, kitu hicho hicho anarudiarudia na kuongea luga za kienyeji. Mbona watu wa ccm wanakuwa wajinga kiasi hicho au ndo mahaba ya kifreemanson: Cheki sera vipaumbele hivi: Elimu, afya, kilimo,miundombinu bora, viwanda pamoja na ulinzi na usalama: Kwa mtu ambaye yuko direct point za muhimu atatumia muda gani? Acha shobo mbulula wewe; ccm wanatakiwa watumie muda mwingi kuelezea wametekeleza nini? Changamoto ni zipi? Wamejipanga vipi? Na wanategemea kufanya nini. Hotuba kama hii inahitaji mchanganua mkubwa na mpana zaid zaid hat ya saa zima.kituko sasa wanamuweka diamond na derivatives zake anengue, anakuja bulembo mitusi na kejeli wakisindikizana na nape. Halafu zinafuata ahadi kibao ambazo hawakuzitekeleza nyuma. Huu sasa ni ujinga upumbavu na ushabiki usiokuwa na tija kwa taifa letu. Upinzani kuhutubia dakika sita mpaka tano sishangai maana wanaenda strait kwenye point maneno machache yakisubiri vitendo tu na hasa mgombea wao el. Big up huyo ndo mwanasiasa anayejua siasa sio nape, bulembo na magufuli kazi yao ni kula matapishi ya sera na swaga za upinzani. Ili kujua kuwa magufuli kichwani hakuna angalia anavoiga swaga: Mara mnipe "peoples power mimi", mara "magufuli for change" mara "mabadiliko yanakuja" mara sitawaangusha. Haya bwana yangu macho endeleeni na fiesta wakati walimu wanawadai tutaonana octoba 25. Inauma sana serikali kuweka kipaumbele kwenye wasanii kunengua.
 
Ni kwa nıni vodacom,Tigo na makampuni mengne yanatumıa wasanii na mizıki kwenye matangazo ya bıashara zao?Ni hv,hyo nı moja ya kazi ya sanaa.

Asante mkuu, kumbe CCM wanafanya matangazo ya biashara kwa wateja wao badala ya kunadi sera?
 
magufuli nilimsikia jana kwenye mkutano wake arusha kuwa anawataka wagombea ubunge na waliokuwa wakirudisha kadi za cuf na chadema, wasiendelee kujieleza kwani anataka kuwapisha wasanii jukwaani ili kutimiza malengo ya waliowengi.

Ina maana nyomi zile huwa zinalenga kupata burudani ya bure, wala sio kusikiliza sera za ccm.

Mabadiliko ni lazima.

eti watu wacheze kudogo

Sikuwahi kujua huyu mwana chato ana akili za namna hii
 
Mimi nipo hapa mianzini nakula supu ya mbuzi kwasababu jana nimepiga hela kichizi!!!!! Jana walikuja kutuchukua huku kia tukapewa 15000 ya mahudhurio nikatoroka uwanjani nikaenda usariver wakaja kutubeba tena nikapata 15000 nyingine nikatoroka tena nikaenda karibu kiwanda cha A-Z wakaja kutuchukua tena nikapata 10000 nikatamani kampeni zisiishe nipige hela za escrow bila jasho

Mkuu umetisha! mi napishana nazo sana.
KULA CCM KURA UKAWA
 
...pamoja kamanda imetulia sana !!!!!
jamani kuna watu wapumbavu eti wantaka mtu anayeongea mda mrefu, kitu hicho hicho anarudiarudia na kuongea luga za kienyeji. Mbona watu wa ccm wanakuwa wajinga kiasi hicho au ndo mahaba ya kifreemanson: Cheki sera vipaumbele hivi: Elimu, afya, kilimo,miundombinu bora, viwanda pamoja na ulinzi na usalama: Kwa mtu ambaye yuko direct point za muhimu atatumia muda gani? Acha shobo mbulula wewe; ccm wanatakiwa watumie muda mwingi kuelezea wametekeleza nini? Changamoto ni zipi? Wamejipanga vipi? Na wanategemea kufanya nini. Hotuba kama hii inahitaji mchanganua mkubwa na mpana zaid zaid hat ya saa zima.kituko sasa wanamuweka diamond na derivatives zake anengue, anakuja bulembo mitusi na kejeli wakisindikizana na nape. Halafu zinafuata ahadi kibao ambazo hawakuzitekeleza nyuma. Huu sasa ni ujinga upumbavu na ushabiki usiokuwa na tija kwa taifa letu. Upinzani kuhutubia dakika sita mpaka tano sishangai maana wanaenda strait kwenye point maneno machache yakisubiri vitendo tu na hasa mgombea wao el. Big up huyo ndo mwanasiasa anayejua siasa sio nape, bulembo na magufuli kazi yao ni kula matapishi ya sera na swaga za upinzani. Ili kujua kuwa magufuli kichwani hakuna angalia anavoiga swaga: Mara mnipe "peoples power mimi", mara "magufuli for change" mara "mabadiliko yanakuja" mara sitawaangusha. Haya bwana yangu macho endeleeni na fiesta wakati walimu wanawadai tutaonana octoba 25. Inauma sana serikali kuweka kipaumbele kwenye wasanii kunengua.
 
Back
Top Bottom