Mkutano wa Lowassa Arusha Mjini Oktoba 8, 2015

Mkutano wa Lowassa Arusha Mjini Oktoba 8, 2015

Duuu!! Kumbe huwa show wanasubiria hadi wamalize kuhadaa watu ndo linapigwa ili watu wasiwakimbie!!!

sasa je, maana wakipandisha wasanii wote kabla ya magufuli hajaongea watu wanaanza kutawanyika...!
 
jamani kuna watu wapumbavu eti wantaka mtu anayeongea mda mrefu, kitu hicho hicho anarudiarudia na kuongea luga za kienyeji. Mbona watu wa ccm wanakuwa wajinga kiasi hicho au ndo mahaba ya kifreemanson: Cheki sera vipaumbele hivi: Elimu, afya, kilimo,miundombinu bora, viwanda pamoja na ulinzi na usalama: Kwa mtu ambaye yuko direct point za muhimu atatumia muda gani? Acha shobo mbulula wewe; ccm wanatakiwa watumie muda mwingi kuelezea wametekeleza nini? Changamoto ni zipi? Wamejipanga vipi? Na wanategemea kufanya nini. Hotuba kama hii inahitaji mchanganua mkubwa na mpana zaid zaid hat ya saa zima.kituko sasa wanamuweka diamond na derivatives zake anengue, anakuja bulembo mitusi na kejeli wakisindikizana na nape. Halafu zinafuata ahadi kibao ambazo hawakuzitekeleza nyuma. Huu sasa ni ujinga upumbavu na ushabiki usiokuwa na tija kwa taifa letu. Upinzani kuhutubia dakika sita mpaka tano sishangai maana wanaenda strait kwenye point maneno machache yakisubiri vitendo tu na hasa mgombea wao el. Big up huyo ndo mwanasiasa anayejua siasa sio nape, bulembo na magufuli kazi yao ni kula matapishi ya sera na swaga za upinzani. Ili kujua kuwa magufuli kichwani hakuna angalia anavoiga swaga: Mara mnipe "peoples power mimi", mara "magufuli for change" mara "mabadiliko yanakuja" mara sitawaangusha. Haya bwana yangu macho endeleeni na fiesta wakati walimu wanawadai tutaonana octoba 25. Inauma sana serikali kuweka kipaumbele kwenye wasanii kunengua.

Du umeuwa mkuu....kula like
 
Kwa dk ngapi?

Mwenye sera na mpiga pushup jana ndio anaona adha ya umeme kwa watanzania!anadai akiingia madarakani ole,lakini je ni nani wapo madarakani sasa? je sio ccm ya magufuli ?kwa nini wasiwawajibishe sasa?hatutaki watu wenye maneno mengi ya ulaghai.tunataka raisi ambae ni mtendaji sio msemaji.Raisi wetu ni LOWASA.
 
Katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Sinoni, Kata ya Sinoni!

Jemedari Kamanda Mpambanaji (Mussa wa Tanzania) Edward Lowassa atahutubia maelfu ya wapiga Kura Arusha wafanyabiashara mama ntilie bodaboda kesho ndiyo kesho .

Angalizo: Hakutakuwa na Fiesta bali ni hoja na sera tu kuelekea Tanzania mpyaa kesho kutwa

Karibuni sana

Mungu ibariki UKAWA Mungu ibariki Tanzania

Kesho nahisi mji utasimama, record ya Magufuli kuvunjwa
 
Kwa dk ngapi?

Kwani kusema elimu bure, afya bora na maendeleo ya viwanda inahitaji dk ngap kwani we kusoma hayo niliyoyaadika umetumia dk ngapi watanzania bwana kama hajatumia vitabu vikubwa vyenye notes kibao anaona hajasoma bado
 
Ni kwa nıni vodacom,Tigo na makampuni mengne yanatumıa wasanii na mizıki kwenye matangazo ya bıashara zao?Ni hv,hyo nı moja ya kazi ya sanaa.
attachment.php
 
Back
Top Bottom