WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,307
- 953
Katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Sinoni, Kata ya Sinoni!
Jemedari Kamanda Mpambanaji (Mussa wa Tanzania) Edward Lowassa atahutubia maelfu ya wapiga Kura Arusha ....wafanyabiashara mama ntilie bodaboda kesho ndiyo kesho .....
Angalizo ; hakutakuwa na Fiesta bali ni hoja na sera tu kuelekea Tanzania mpyaa kesho kutwa
Karibuni sana
Mungu ibariki UKAWA Mungu ibariki Tanzania
Where? Shule ya sekondari ya Sino what? Kwa nini asiende Sheikh Amri Abedi? Au Mbauda mnadani? Au Sanawari? Wanataka wazimie tena! WM