johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mbunge wa Arusha mjini mh Mrisho Gambo amesema tarehe 17/02/2024 watafanya mkutano mkuu wa Jimbo katika ukumbi wa Kimataifa wa AICC
Gambo amesema Wajumbe, Mabalozi wote na Wawakilishi wa Wafanyabiashara, Wajasiliamali na Jamii watahudhuria na kwamba idadi yao itakuwa Zaidi ya Watu 2000
Source: Clouds TV
Gambo amesema Wajumbe, Mabalozi wote na Wawakilishi wa Wafanyabiashara, Wajasiliamali na Jamii watahudhuria na kwamba idadi yao itakuwa Zaidi ya Watu 2000
Source: Clouds TV