Mkutano wa CHADEMA wa kupinga maendeleo kwa Watanzania umekwama tena Bukoba

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
MKUTANO WA CHADEMA WA KUPINGA MAENDELEO KWA WATANZANIA UMEKWAMA TENA BUKOBA

Leo BUKOBA Viongozi wakuu wa CHADEMA wapata AIBU Kubwa mara baada ya kufika uwanjani na kukuta kiwanja cheupe kama ilivyotokea Temeke Viwanja VYA BULIAGA

Miaka ya Hivi Sasa Watanzania wanajua ukweli na ndio maana Mikutano mingi ya CHADEMA inakosa mvuto sababu Kubwa ni aina ya Siasa wanazofanya za Matusi na KASHFA Kwa Viongozi ambao Watanzania wanamatumaini nao makubwa katika kutatua changamoto zao.

Hakuna asiyejua juhudi za Mhe. Rais DKT. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha Tanzania inakuwa ni Kimbilio la wawekezaji Nchini lengo ni kukimbia Kwa haraka katika Maendeleo wote mtakuwa mashahidi hakuna kilichosimama na Maendeleo yapo kila sehemu

CHANZO Cha kelele zote za CHADEMA ni KUKOSA ajenda ya kwenda nayo Kwa Wananchi maana Wananchi wanaviona Kwa vitendo juhudi za Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa Moyo wake wa kizalendo katika kuwatumikia Wananchi wake.

Hakuna asiyejua mambo mengi yalikuwa hayaendi lakini chini ya mama yanakwenda Hata hao wanaopita kutukana na kukashfu walikuwa wanasota GEREZANI lakini mama amewaleta mtaani lakini FADHIRA zao ni Matusi

Upotoshaji unaendelea kuhusu Bandari ni Mpango mahususi wa CHADEMA katika kurudi Mjini lakini wasichokijua ndio wanakufa kisiasa.

IMG-20230728-WA0377.jpg
 
Shukrani kutujuza hii habari.Na ni habari muhimu sana.Endelewa kutujuza wananchi.Mungu ampe afya Rais wetu na Makamo wake na waziri mkuu wetu,na mawaziri wetu na wabunge na viongozi wote wa serekali,wawe na afya njema.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni wengi sana hao, ulishawahi kuona mkutano wa mshindi wa urais wa Marekani? Sikuiz watu hawapendi kutumia nguvu nyingi kwenye mambo hayo, social media tu zinatosha.

Niko Sumbawanga kilichotokea Temeke ama Bukoba tayari ninacho kiganjani ya nini kuangaika na jua.
 
Like Socrates Said.....

In a Political Debate between two candidates....; one who was like a doctor and the other who was like a sweet shop owner. The sweet shop owner would say of his rival:

Look, this person here has worked many evils on you. He hurts you, gives you bitter potions and tells you not to eat and drink whatever you like. He’ll never serve you feasts of many and varied pleasant things like I will.

Na Kwahio jifunze kuangalia nani anasema nini na sio nani anasikilizwa (propaganda inaweza ikafanya uongo uonekane ni ukweli)....; Binafsi hata kila mtu akiwazomea na kuwaponda mawe - Tawasikiliza kuliko wale wanaobebwa na watu na wengine kulala ili watembee juu yao kwa kuongena maneno yenye manukato wakati vitendo vyao ni vya kishetani....
 
Mkuu kazi yako ya kutupasha kila siku kinachoendelea ni nzuri mno, endelea kuchukua buku saba kwa jamaa na uendelee kutuletea habari, nilikuwa sijui kuwa leo wazalendo wako Bukoba kuondoa tongotongo kwa ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom