Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?

happyxxx

JF-Expert Member
Nov 14, 2020
568
1,847
20230122_104418.jpg


20230122_104536.jpg


Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?
 
View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?
Samia namuionea huruma sana. Aliwaambia jibuni hoja za Chadema. Ila kama majibu ndo haya basi hongereni kwakuzindua chawa wa mama mkiongozwa na Meya Kumbilamoto.
 
Nchi hii ina wjng wengi sana

Ova
Bila hao wajinga unafikiri hata hiyo mikutano ya kisiasa itapata watu? Ni wachache sana wenye uelewa ndio wapo kwenye hiyo mikutano ila wengi wanaenda kushangaa tu ilimradi kukusanyika.
 
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM
Wewe ni mpumbavu uliyepata mtaji kwa mgongo wa shetani Jpm.Nchi hii ina watu wengi sana so,watu kugawanyika kwenda kwenye matukio hamsini tofauti bado siyo issue kubwa!
 
Hivi Tanzania ni Nchi au Gereza?

Pardon my language nimeuliza tu sio kwa ubaya lakini,
 
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM
CHADEMA hawana habari na Marehemu ambaye inafahamika kabisa Kwa Sasa yuko Kuzimu / Motoni
 
View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?

sawa na wewe mtoa mada nikulinganishe na juma lukole kitabia.
 
Back
Top Bottom