happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.
Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.
Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.
Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.
Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?
2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?
3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?
4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?