mwenyekiti wa madiwani; Isaya Doita
Sisi kama madiwani pamoja na kwamba tumebaki wachache tunapambana na kila hali katika manispaa yetu..
Mwaka Jana ilikuwa Bil 48 na sasa bil. 56 lakini watendaji wakuu Meya na Mkuruganzi hawajishughulishi na taasisi za uma kama hospitali, mashule n.k
Shime wananchi wote tuwe viongozi na tuwafinye viongozi wote katika maeneo yetu na kama viongozi hawana uwezo tuwawajibishe!!
Uadilifu unaanza na kila mmoja wetu, tufanye kazi kwa bidii..
Walikuwa wanasema vijana wanmkimbilia Lema na sasa wanasema vijana wamfuate sasa.
Namwambia mwanasheria wa manispaa kuwa Lema atarudi kuwa mbunge watake wastake!!
Wao wanakula kwa kupelekewa kodi, vijana wanhangaika, tutapambana mpaka mwisho!!