Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

nafikiri ingekua uhaini kama wangeitangaza MERU kama independent state from TANZANIA na hao unaowataja wakajitambulisha kua viongozi na wakatambulisha serikali yao lakini kwa kutamka tu kuwa wao ni rais na waziri mkuu (joshua,rema) basi wahaini watakua wengi sana..Think BIG mkuu
 
kama kweli haya ni maneno ya Mh. Nasari, basi yanatishia mustakabali wa taifa letu. Itakuwa ni vema kwake kuomba radhi na kufuta kauli yake hiyo. Mimi ni mpenda mabadiliko na ninaipenda Chadema kama chama, lakini masikio yangu hayafurahii kusikia habari zinazoashiria chuki miongoni mwa watanzania. Ni vema tukapingana pasipo kupigana.
 
Kila siku Arusha tu Makamanda jaribuni kujitanua kitaifa zaidi kuliko kikanda.

Lini tutasikia Chadema wameweka kambi maeneo mengine kama.

Kilwa.
liwale.
Ruangwa.
Nachingwea.
Newala.
Nanyumbu.
Tandahimba.
Ngara.
Karagwe.
Muleba.
Kyerwa.
same,,mwanga,ndungu,,koogwe,,,handen,kiteto,,sinanjiro,pangan,mkinga,,,lushoto,,,muheza,ndanga,,nk,nk
 
Mimi ni mwana chadema lakini Leo nimekerwa sana na maneno ya Nassari, ndiyo maana Mbowe akasema Yale ni maneno ya Nassari na si chadema.
 
kama kweli haya ni maneno ya Mh. Nasari, basi yanatishia mustakabali wa taifa letu. Itakuwa ni vema kwake kuomba radhi na kufuta kauli yake hiyo. Mimi ni mpenda mabadiliko na ninaipenda Chadema kama chama, lakini masikio yangu hayafurahii kusikia habari zinazoashiria chuki miongoni mwa watanzania. Ni vema tukapingana pasipo kupigana.

Acheni Ujinga, watu wanapora ma trilioni ya fedha hamuwajadili, Ndege ya Jeshi la Qatari inaingia anga ya Tanzania Bila kuonekana kwenye Rada za na inaondoka na twiga hamuoni, kati ya maneno ya Nassari na ile ndeg ya Jeshi la Qatari iliyo ingia tanzania ni kipi kinahatarisha amani ya nchi?
 
Looh! Mwenyekiti wa chama anahoji huo utaratibu ambao upo TZ tokea enzi za Nyerere mpaka sasa. Ina maana haelewi au ni siasa tu?

Unaweza usiupende utaratibu fulani lakini kusema amevunja katiba ni tuhuma nzito sana hasa ikitolewa na kiongozi wa upinzani bungeni. Je kweli Mbowe amekaa na wanasheria wake kabla ya kuongea hili?
Kwenye bold.
Huwezi kujitetea mahakamani kwa kusema toka enzi za Nyerere hakimu akakubaliana na wewe, neno 'toka enzi' si sheria kuhalalisha makosa mengine.

Bold ya pili, kuna makosa mengine yako wazi kiasi hayahitaji wanasheria 'amevunja katiba' PERIOD, nikiona mwizi anaiba sina haja ya kusubiri mwanasheria ili niseme.
 
"ndugu wana Arusha kuanzia Leo natangaza Kuwa Tanzania kuna Jamhuri huru ya watu wa MERU. Mimi ndiyo Rais wa watu wa MERU na Lema ndiyo waziri mkuu. Tunamwambia kikwete Kuwa tuna andaa utaratibu wa kumpiga marufuku Kuja Arusha, tutaziba njia zote asije huku." Joshua Nassari , MB Arumeru Mashariki
Wewe nimuongo nilikuepo NMC,sijui kama ulimsikiza vizuri kamanda Mbowe alicho kisema,alicho kisema yeye naku regebisha kauli za walio tanguli,nakuwataka waandishi waabari wachukue alicho kiongea ndio kauli ya chama,sasa wewe mnafiki wali wa mtu umetoka wapi?
 
Nyinyi fanyeni mchezo na hii Amani tu. Mtu akikosea lazima muwe wakweli, jiandaeni kumtetea mahakamani.
Amani gani watu wanakufa kwa sababu hawana hela ya matibabu, hospitali hakuna dawa na huduma mbovu, watu hawawezi kula milo 3, hata huo 1 ni wa kubahatisha. Hiyo amani inyofanyiwa mchezo ni ipi? NASARI NI RAIS WA MERU UPANDE WA CHADEMA, KUNA KOSA GANI HAPO? anza mbele wewe, PEOPLEEEEEEEEEEEEEES!!!!!!!!!!
 
Acheni Ujinga, watu wanapora ma trilioni ya fedha hamuwajadili, Ndege ya Jeshi la Qatari inaingia anga ya Tanzania Bila kuonekana kwenye Rada za na inaondoka na twiga hamuoni, kati ya maneno ya Nassari na ile ndeg ya Jeshi la Qatari iliyo ingia tanzania ni kipi kinahatarisha amani ya nchi?

RAIS hata hajui wamiliki wa makampuni yanayoidai serikali yake mabilion...i think hata yeye mwenyewe anahatarisha amani ya nchi hii,
 
Nyinyi fanyeni mchezo na hii Amani tu. Mtu akikosea lazima muwe wakweli, jiandaeni kumtetea mahakamani.

Hutaki nini?marais mbona tunao wengi tu hapa TZ?we nadhani gamba linakusumbua,lakini nadhani you think short,kwanini uhangaike na GAMBA ambalo dawa yake ipo?hata leo pale Arusha walikuwa wanagawabure dozi hiyo ya kujivua gamba,nikukumbushe tu jina la dawa hiyo inaitwa M4C,VUA GAMBA VAA GWANDA,HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE
 
Mimi ni mwana chadema lakini Leo nimekerwa sana na maneno ya Nassari, ndiyo maana Mbowe akasema Yale ni maneno ya Nassari na si chadema.
..Nassari ni **** ndo kaingia mjengoni anajipeleka kwa jasusi lema,jimbo litamshinda,nawashauri chadema jengeni chama chenu achaneni na hao wanaotaka toka ccm kama wanataka waanzishe chama chao kingine watawaaribia
 
"ndugu wana Arusha kuanzia Leo natangaza Kuwa Tanzania kuna Jamhuri huru ya watu wa MERU. Mimi ndiyo Rais wa watu wa MERU na Lema ndiyo waziri mkuu. Tunamwambia kikwete Kuwa tuna andaa utaratibu wa kumpiga marufuku Kuja Arusha, tutaziba njia zote asije huku." Joshua Nassari , MB Arumeru Mashariki
Je? mbona utakikueleza alichosema kamanda wa anga mhe mbowe kuhusu hilo,....kwa faida ya wana jf,amesema kwamba hilo si tamko la chama,hivyo acha:gossip: umbeya
 
Sugu Rais wa Mbeya, Nasari rais wa arumeru, Rema waziri mkuu wa arusha. je kosa liko wapi?.

kweli CDM ni chama cha wahasi na wahaini yani wamefika mpaka hatua hiyo ya kulopoka upumbavu! wenyewe wanmshtumu kikwete kavunja katiba na wakati wao ndo wamevunja katiba kusema maneno ya uhaini, hawa chadema sio wakuwapa nchi hata kidogo kwani hawana jema hata kidogo na huyu nassary we mwache tu avimbe kichwa na misifa ya kitoto ipo siku atajutia kwani anamuiga mbowe ambaye analala dubai baada ya mkutano na wakati nassary analala gesti za uchochoroni ambapo usalama hakuna. Huruma sna kwani kesho 2 tutampoteza huyu kijana kwani ccm siku hizi wana M4K (movement 4 killing) sasa mwache nassary azubae tutamzika eboo.
 
Acheni Ujinga, watu wanapora ma trilioni ya fedha hamuwajadili, Ndege ya Jeshi la Qatari inaingia anga ya Tanzania Bila kuonekana kwenye Rada za na inaondoka na twiga hamuoni, kati ya maneno ya Nassari na ile ndeg ya Jeshi la Qatari iliyo ingia tanzania ni kipi kinahatarisha amani ya nchi?

Mimi ni gwanda live, kwenye kosa tukemee wala tusiseme mbona fulani kafanya hivi kwa kwani kosa la mmoja si kibali cha wengine kufanya makosa. Kwahili tuache ushabiki nasari kateleza
 
Saizi ndio nimejua kwa nini Chadema walisusia sherehe za muungano kumbe ni mkakati maalum wa kujitenga...Nassari katuweka wazi picha halisi ya Chadema tunaiona sasa.
 
Uhaini ni lugha pana sana. Hata Rais aliye. Apa kulinda katiba na rasilimali za nchi asipo fanya hivyo anakuwa mhaini kwa nchi na watu wake.
kauli ya Nasari ni maneno ya kisiasa tu jukwaani na wajinga ndio watakao komalia kuwa ni uhaini
 
Nyinyi fanyeni mchezo na hii Amani tu. Mtu akikosea lazima muwe wakweli, jiandaeni kumtetea mahakamani.

ko kilichokupeleka ni umbea tu,. Pole sn hatudanganyiki saiz na hatuko enzi za mwalimu,. Mkuu lazma aviambie vyombo vyake vya usalama ili vilinde aman la sivyo hiyo aman unayoisema utaiota tu siku1
 
Back
Top Bottom