Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?

kwa taarifa ya Mbowe leo Dr. Slaa yupo Zanzibar
 
Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?
Dr Slaa na timu yake watakuwa huko siku si nyingi.
 
hakuna hata picha moja..tutajuaje kama ni kweli! wekeni hata zile za ku-edit tutaridhika tu!
 
Hii ndivyo ilivyokuwa Mbeya leo, Viwanja vya Dkt. Slaa. Mkutano wa CHADEMA, Mabaraza Huru ya Rasimu ya Katiba.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1377194557.088644.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1377194557.088644.jpg
    132.2 KB · Views: 1,728
  • ImageUploadedByJamiiForums1377194636.945630.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1377194636.945630.jpg
    142.2 KB · Views: 927
Vipi Zanzibar mtaenda kufanya mikutano mana kule mako chadema wapo mwambieni Mbowe na dr slaa waende chama ni chakitaifa au hamuwataki wazanzibar?

Waende kufanya nini? mnataka kuwafanya nini huko, mkawamwagie tindikali? ama mkawape sumu? wewe hujui Zanzibar ni nchi, mnajikomba bure.
 
watanzania sasa wameelewa, umati huu ni ishara ya ukombozi wa kweli. viva cdm.
 
...


.....Mungi ....gwanda1.....Mchambuzi....Crashwise....Tumaini Makene...Nicholas....

....Makamanda wa Mbeya na Arusha Mwanza Tunduma Kigoma ....SINGIDA....Moro....MTWARALINDI....wanaomba hiyo picha ikae hapo juu kama kive update!!!!!
 
Utayasikia...ooooowingi watu sio ushindi..ooo sio wote wanapiga kura..huku wakijichanganya kama Membe " ishara ya watu wengi kujitokeza ktk mikutano ya Mugabe ni ishara kwamba bado wazimbabwe wanmpenda".

pangeni na mthubutu kuiba kura 2015...mtakipata cha moto.
 
Hii ndivyo ilivyokuwa Mbeya leo, Viwanja vya Dkt. Slaa. Mkutano wa CHADEMA, Mabaraza Huru ya Rasimu ya Katiba.

Dah, hadi raha! Naamini kila fisadi anaechngulia picha hii, akili zinamruka kwa muda.
 
Back
Top Bottom