Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Mkutano wa CHADEMA - Mbeya

Chadema mziki mnene......hamuiwez kamwe.
Pipoooooooooooz!!!!!!!!!!
 
Chadema mziki mnene......hamuiwez kamwe.
Pipoooooooooooz!!!!!!!!!!
Magamba mtataga mwaka huu...
 
Tuko strong mkuu, tunahakikisha magamba yanakaa kufikia 2015, Mbeya ni kama Arusha mkuu, magamba wamesalimu amri.

sijafika Arusha ila nadhani Mbeya nizaidi ya Arusha maana watu wengi hawakuwa na taarifa na huu mkutano, walituonea wivu sana mitaani. Labda daftari lisiboreshwe otherwise magamba hawata kata hata moja Mbeya. Coz maeno yaliyokuwa ngome yao sasa ni kinyume chake
 
I admire you Cdm,ninyi ni watu wenye maono,mna malengo yasiyo na ubinafsi na mna nia dhabiti ya kuelimisha umma ili wajitambue,na pia sio watu wa kufuata mkumbo.Mungu awalinde,semeni AMEEN
 
attachment.php

Duh! hii kiboko!!!!!!
 
Back
Top Bottom