Mkutano wa CCM Mbeya

Mkutano wa CCM Mbeya

Mapenzi ni hisia na zina viwango vyake , usije ukachezacheza ukadhani feeling ya mtu utake kuwa naye baada itakuwa safi. Hujiulizi kwa nini wanaume huona vema kuoa mtu ambaye hajulikani mtaani pale '' Historcial Background'' na mwanamke aweza olewa mbali na kwao kiurahisi. Halafu huyo mwanaume anayeweza sema nimeona ya kichina anazo kichwani kweli na wewe ukisikia nakusema utajiskiaje '' Hizo ni dharau'', hivi waweza simulia huo ufisadi waziwazi namna hiyo. Cha msingi wanawake kuweni wasiri na mahusuiano yenu wakati mkiwa wachumba kujishow ni mbaya maana mtu akupataye baadaye kama mambo hayataiva ataona kama gundu maana mtaa mzima watu wanakujua ukoje.
Nijuavyo mimi Uzuri wa mwanamkemwenye bikira ni kwamba baadhi yawanaume, au tuseme wanaume waliowengi hupenda ile sifa ya kuwamwanaume pekee ambaye mpenzi wake amewahi kufanya nae mapenzi,wengi hujisikia vemawanapotunukiwa hesima yakufungua shampeni, mwanaume waaina hii pia hufurahia ile hali ya kuwamwalimu wa mpenz wake ktk mambo fulani, akimwelekeza jinsi ya kufanyaili kumkuna vyema wakutanapokwenye tendo. Hiyo bikira ya kichina ni vyepesi sana kugundulika, kuna tofauti kubwa kati ya kitu asilia na feki, uchina ni mgumu kuprevail ktk uhusiano wowote. So wanaume wengihutafuta bikira kwa madhumuni hayo, so bikira ni muhimu!
 
Kasome Katiba, kasome sheria ya Uchaguzi katika mfumo wa vyama vingi baada ya kufanya marekebisho ya Katiba 1992.

Mnyamahodzo vipi?toa hoja mkuu unless kama umelisahau desa...haa ha ha....
 
Inafaida sana kwenye ndoa,mwanamke ulomuoa akiwa na bikra na ukaitoa endapo atakuwa mwaminifu utaenjoy,atis yule alomtoa bkra ndo anaempa UTAMU ndio ajuae mambo,ndiye kila kitu.
Yap! Wewe ndio umekuja pale nipatakapo mimi, nataka kujua madhara na faida ya bikira, wengi wetu tumekua tukizungumzia kitendo cha kuondoa bikira kwa manamke pasipo gusia faida na hasara zake ktk mahusiano, kuna maswali matatu hapo! Mkuu kwa nin hutaki kusikia juu ya bikira?
 
Huyu mzee unajua hana jipya kwa kuwa anachotaka yeye ni kugombea urais tu, Mimi nashangaa anaposikitika watanzania kutokuwa na Umeme wakati yeye alikuwa wakwanza kumaliza swala la Richmond/Dowans pale Bungeni.

Kibaya zaidi ni swala kukana kuwepo kwenye CCJ wakati alikuwepo, swali langu ni kwamba kwani akikubali tatizo liko wapi? au kwa vile imekufa?
Aache unafiki huyu mzee, hatutaki viongozi wanafiki kama Sita, kujiunga upinzani ndiyo ukombozi wa Watanzania sasa anakataa nini.

Hawa wanaotusaidia watanzania, Mfano Dk Slaa alinkuwa CCM kahamia Chadema na ndio mkombozi wetu, hata haya ya kuvua magamba ni matokeo yake.
 
Mimi napita tu, hivi ile mechi ya fainali ya kombe la dunia la kina dada ni saa ngapi?
 
mzee six hajui anachokita maana hasimamii kitu kimoja, ni rahisi mno kugeuzwageuzwa kama chapati kwenye flaying pan.

Itakula kwake na maadui zake wanajua udhaifu wake. Ni kama mbwa mwenye njaa ya nyama, hata yenye sumu atakula tu. Tumemwona alivyoachiwa uPM kwa week moja alivyobadilika!
 
Sasa mbona nilipokuwa naoa pale altaleni padre hakuuluza mambo hayo, yeye aliniuliza tu kama niko tayari kwa shida na raha, huo ndo mpango mzima bikira iko kwa mwili wa mwenzako we utaijuaje au inatoa rangi au sauti??
 
Ni kweli kabisa ndugu Ngonini,
ninauhakika CCM/magamba yake waliacha kumfukuza kwa ajili ya kuihofia CCJ ambayo yeye nape, mpendazoe na mwakyembe walikuwa kwenye background sasa wanakataa nini?

Matatizo makubwa nchi hii ni CCM na si kitu kingine, embu angali issue ya matrecta ya Kilimo kwanza inashangaza sana kuona eti Jeetu patel yule Mwizi Mkubwa wa Epa ndiyo amepewa hiyo tenda ya Mabilioni. inashangaza sana.

Chenge wanamtetea hadi leo lakini wanakubali kwamba BAE iliwaibia wakati Chenge na middle men Wahindi fulani ndio walioibia serikali. Inashangaza sana kuona jinsi Membe anavyo Rap kwenye media wakati watuhumiwa wa kwanza kwa upande wetu wanawasafisha huu ni uhuni wanatufanyi na hii haiwezi kukubalika.
 
Kwanza mimi naomba watz wote tumwelewe huyu mtu anayeitwa sitta,hata ikibidi tufanye utafiti wa kutosha juu ya hoja zifuatazo;Inasemekana kwamba yeye akishirikiana na akina Lowassa ndiyo waliokuwa kamati ya ushindi wa ndg Jakaya.,kwa msingi huo alikuwapo katika misingi ya kufanya Resources allocation ya mgombea urais,pakiwapo mkakati wa kijasusi wa kuchota pesa za umma Kupitia BOT Yaani EPA.,Ndiyo maana hakutaka EPA ijadiliwe bungeni akiwa spika,,leo hii anajiita kwamba ni mfuasi wa matendo ya mwl Nyerere,wakati Nyerere alikuwa anachukiawahujumu uchumi kwa vitendo!!,Nyerere hakufunga mjadala juu ya Rushwa na Ufisadi mpaka anakufa,.Samweli sitta akiwa ndiyo kiongozi mkubwa wa muhimili wa ummah alifunga mjadala akitumia kofia yake juu ya wizi mkubwa wa mali za ummah yani EPA na RICHMOND!!!!! Hivyo hawezi kujifananisha na mwl Nyerere hata siku moja. Pia kuna hoja kubwa kwamba walikuwa kundi moja na akina Lowasa katika kumtafuta mgombea Urais wao ambaye ni ndg Jakaya!!!,kwa maana hiyo Sitta anaye jiita ni mzalendo kama mwl Nyerere hakumwona Dr salim,Sumaye,Mwandosya na wengine wengi bali kwake mzalend mwenzie alikuwa ni ndg Jakaya aliye faa kuwa Rais wa watz.,kwa misingi hiyo ndg Sitta aache kujilinganisha na mwl Nyerere kwa sababu Nyerere alichukia RUSHWA na mtu anaye ambatana na wala Rushwa,nakumbuka kuna mahala mwl Nyerere aligoma kuingia kwenye kikao cha kamati kuu ya CCM kwa sababu ya uwapo wa Ndg Samweli Mallecela,akisema kama Mallecela yumo ndani si ingii!!!,kipindi hicho John Mallecela hakuwa ameiba pesa ya ummah bali kosa lilikuwa ni kupoteza msimamo juu ya hoja ya G55.Leo hii Mallecela anaweza kujitangazia uadilifu wake ndani ya CCM na sidhani kama kuna mtu ama kiongozi atakayesimama na kumpinga,Lakini leo Sitta anakaa na wala RUSHWA anasema anachukia Mafisadi,.Mwl Nyerere alifika mahala alisita kulipia kadi ya chama alicho kiasisi yani CCM Kwa sababu ya kunuka Rushwa lakini hakuanzisha CCJ ndani ya CCM,ila Mwl alianzisha TANU baadaye akaasisi CCM ndani ya TANU pasipo kificho wala unafiki!!,lakini Sitta anaanzisha CCJ ndani ya CCM kisirisiri na anawasaliti wenzie huku akiikana na kuwakana hadharani!!!,mwl Nyerere alichukia posho zisizo na maana kwa kutazama ufukara wa watz hata akathubutu kukata mshahara wake kwa kuuelekeza katika kuto huduma za jamii bure,lakini Samweli Sitta anapenda posho sana na anasa za kujenga ofisi yenye hadhi ya uspika jimboni kwake Urambo kwa kujitangazia USpika wa UFALME huku wakati jimbo lake likikosa huduma bora za kijamii,Juzi juzi hapa unaambiwa anaishi kwenye nyumba inayotafuna mamilion ya pesa ya walipa kodi kama spika mstaafu!!!Mwl Nyerere alikaa kijijin BUTIAMA kwenye kibanda huku akikataa kujengewa nyumba ama kukaa hotelini!!! kwasababu alichukia anasa kati kati ya ufukara na ujinga.Leo Sitta anapiga kete kwa watz kwa kujifananisha na Nyerere!!!!!.Sitta ajibu juu ya hoja juu ya ahadi zao na akina JK ,lowasa na Rostam kama KINGS MAKERZ,Aliahidiwa atakuwa nani?halafu haikuwa.pia kwanini aliahirisha mjadala wa EPA na RICHMOND akisema amefunga mjadala wakati hata maazimio 23 hayakutekelezwa? naye Dr Mwakyembe kwanini akiwa msomi wa kiwango cha juu akielewa dhana ya SCIENTIFIC INVESTIGATION hakuthubutu kumuhoji Lowasa kama mtuhumiwa mkuu wa Richmond? huku akisema Lowasa ana fursa ya kujieleza mbele ya Bunge!!! ndo maana ya UCHUNGUZI?? ,Pia kwanini Lowasa hakujibu Juu ya Richmond akisema Tatizo SI RICHMOND bali ni UWAZIRI MKUU!!!!,Sitta aliahidiwa uwaziri mkuu wakati wa kamati ya ushindi wa JK?Baadaye JK alijitokeza hadharani huku akicheka kwa furaha kubwa kwamba kilichotokea ni ajali ya kisiasa!!!! uhujumu uchumi!!!,,Baadaye Dr MWAKYEMBE anasema atayasema hata yaliyo moyoni ambayo hakuyasema kwa sababu ya kulinda CCM na serikali yake!! Haaa!!!! ni watetezi?? maazimio 23 hayajatekelezwa huku wanapandishana vyeo hata wale walopendekezwa kutimuliwa na kuhukumiwa sasa wanakula zaidi!! ni kamati ya Bunge la Samweli Sitta na Mwakyembe Huku JK Akiwapa ulaji zaidi.Tuunde Tume nyingine iwe ya Ummah.Mwl hakuanzisha CCJ Bali SITTA alianzisha na kuikana,anajifananisha na mwl Nyerere yupi?hata chembe hawaendani.
 
Inafaida sana kwenye ndoa,mwanamke ulomuoa akiwa na bikra na ukaitoa endapo atakuwa mwaminifu utaenjoy,atis yule alomtoa bkra ndo anaempa UTAMU ndio ajuae mambo,ndiye kila kitu.
Kwa wale mliopoteza zenu poleni sana! Wanaume tunazisaka sana!
 
Sasa mbona nilipokuwa naoa pale altaleni padre hakuuluza mambo hayo, yeye aliniuliza tu kama niko tayari kwa shida na raha, huo ndo mpango mzima bikira iko kwa mwili wa mwenzako we utaijuaje au inatoa rangi au sauti??
Mkuu ulitaka padri aulize pale mbele kama mkeo anabikira? Wanawashauri mfatilie historia za wenzi wenu b4 yote!
 
Huyu mzee unajua hana jipya kwa kuwa anachotaka yeye ni kugombea urais tu, Mimi nashangaa anaposikitika watanzania kutokuwa na Umeme wakati yeye alikuwa wakwanza kumaliza swala la Richmond/Dowans pale Bungeni.

Kibaya zaidi ni swala kukana kuwepo kwenye CCJ wakati alikuwepo, swali langu ni kwamba kwani akikubali tatizo liko wapi? au kwa vile imekufa?
Aache unafiki huyu mzee, hatutaki viongozi wanafiki kama Sita, kujiunga upinzani ndiyo ukombozi wa Watanzania sasa anakataa nini.

Hawa wanaotusaidia watanzania, Mfano Dk Slaa alinkuwa CCM kahamia Chadema na ndio mkombozi wetu, hata haya ya kuvua magamba ni matokeo yake.
ni kweli jamaa ni kambwa mbwa mwenye njaa hata matapishi atakula nimemshangaa sana samwel sita kwa kauli aliyoitoa juzi kuwa wapinzani ni wanafiki watafia upinzani mbona naye atakufa bila kulindwa na kusindikizwa na ving'ora kama rais au waziri mkuu . Nawashukuru usalama wa taifa waliomwengua kuwa hafai kuwa pm 2005 akaachwa solemba na suti aliisha shona mzee umefuria kama ze komed umebakia majungu .kwa wanaharakati maneno ya sita ni ya kishenzi na ya watu waliovembewa madaraka yeye anafikiri ccm itatawala milele namwomba mungu ambakize aishi miaka mingi kidogo asimchukue 2015 wala asimpe ugonjwa wa presha 2015 wakati akimwagwa na ccm asigombee ili aone upinzani ukichukua nchi na ccm yake wanageuka upinzani
 
Mnyamahodzo vipi?toa hoja mkuu unless kama umelisahau desa...haa ha ha....
Nimetoa hoja lakini sikupenda kutengeneza mabishano. Nimekwisha upima uelewa wako jinsi ulivyo mdogo na namna ulivyombishi.
 
Hili jambo nimelijadili kwenye wall ya mwananchi,fb!kwanin aliizma hoja ya richmond?
Huyu mzee unajua hana jipya kwa kuwa anachotaka yeye ni kugombea urais tu, Mimi nashangaa anaposikitika watanzania kutokuwa na Umeme wakati yeye alikuwa wakwanza kumaliza swala la Richmond/Dowans pale Bungeni.Kibaya zaidi ni swala kukana kuwepo kwenye CCJ wakati alikuwepo, swali langu ni kwamba kwani akikubali tatizo liko wapi? au kwa vile imekufa? Aache unafiki huyu mzee, hatutaki viongozi wanafiki kama Sita, kujiunga upinzani ndiyo ukombozi wa Watanzania sasa anakataa nini.Hawa wanaotusaidia watanzania, Mfano Dk Slaa alinkuwa CCM kahamia Chadema na ndio mkombozi wetu, hata haya ya kuvua magamba ni matokeo yake.
 
Wadau jana nilishuhudia mkutano wao mbeya.Ninachoweza kusema ni kwamba mwisho wa CCM umekaribia.Ilidhihirisha makundi ya ajabu ndani ya chama h
 
Hayo mwanangu maneno... Politicians are liars!! Only very few are genuine, but they will do anything to stay in power......including all what happened during 2005 elections. Nilimshangaa Sitta na sijammaliza mpaka leo...
 
Sitta is just an hipocrite person. Anaishauri serikali kupitia wizara ya nishati na madini wakati yupo serikalini! Au anadhani tayari yupo ccj? Eti wapitie mikataba yote wakati mkataba m1 tu waliopitia wabunge wakakuta unakasoro yeye alizima hoja wakati serikali haijatekekeleza maazimio ya bunge alilokuwa anaongoza!? Huyu mzee anazeekd vbaya. Umaarufu alioupata kwa kuunda kamati ya kuchunguza richmund kutoa ripoti yake bungeni hajui kwamba uliishia pale alipoizima hoja ilipokuwa imefika patamu? Poor 6. Amebakia zilipendwa?
 
Back
Top Bottom