KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Tunameamua kurusha mkutano wetu kupitia star tv kukinadi Tanzania nzima, karibuni wana Singida wote.
Nawasilisha.
Mkuu vipi hata huko kuna mtura? umetisha
Tunameamua kurusha mkutano wetu kupitia star tv kukinadi Tanzania nzima, karibuni wana Singida wote.
Nawasilisha.
Amosi makala naibu waziri wa maji anaweka wazi kuhusu mipango ya maji maeneo mbali nchini mfano mradi wa ziwa victoria mnavyokwenda vema.
Unajua kuhesabu kweli wewe au wingi wa watu unaupima kwa vigezo gani make idadi hii ya watu ni kubwa kuliko kawaida.Yani hii ni aibu haswa,mkutano umejaa mawaziri manaibu mawaziri viongozi wa kutosha,ila watu wachache hata mkutano wa diwani wa chadema sio hivi,hongereni wana singida kwa kuwachoka hawa magamba.
waziri anasema ccm oyeeeee...... Wananchi wamenyamaza kimya.
Ebu tuupe muda nafasi huenda wananchi wakafanya jambo.
N/Waziri wa uchukuzi ndie atakuwa wa kwanza kuongea....mambo ya BRN, nadhani mnayakumbuka vizuri.
Acha wanaume wafanye kazi wavulana kaeni kimywa kachezeni na wenzenu kibarazani ccm wamethubutu,wameweza na sasa wanasonga mbele.anaweka wazi baada ya kuficha kwa miaka 50 !
mkuu vipi hata huko kuna mtura? Umetisha
Namuona Nape anamawazo sana. na nazani anaiwaza Ukawa
anaweka wazi baada ya kuficha kwa miaka 50 !
Naona malori sasa yanapiga kazi kujaza watu uwanjani, na nasikia kuwa Star TV wamekatisha kurusha hewani mpaka hili zoezi likamilike.
Sema pia kuwa amekiri kuhongwa viwanja vitatu yeye na Mwenyekiti wa CCM Mkoa kwa ajili ya uchimbaji , na pia kampuni ya wawekezaji iliwahi nag shilingi milioni 40 .......Mwenyekiti wa chadema jimbo la Lisu amemwaga manyanga na kujiunga na ccm.
Anasema ndani ya chadema hakuna demokrasia,hakuna vikao bali ni watu wawili wakiamua hakuna mtu wa kuhoji anasema hiyo siwa sawa.
Anasema alichukiwa na chadema baada kuhamasisha ujenzi wa choo cha shule akaambiwa asifanye hayo maendele hayo.
Unajua kuhesabu kweli wewe au wingi wa watu unaupima kwa vigezo gani make idadi hii ya watu ni kubwa kuliko kawaida.