mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
- Thread starter
- #21
mitambo au mkopo umekataliwa,malipo taslim yalikuwa yanasumbua,mfadhili mmoja ameokoa jahazi!
hakuna chama chenye minoti kama ccm mkuu
mitambo au mkopo umekataliwa,malipo taslim yalikuwa yanasumbua,mfadhili mmoja ameokoa jahazi!
hakuna chama chenye minoti kama ccm mkuu
Tunameamua kurusha mkutano wetu kupitia star tv kukinadi Tanzania nzima, karibuni wana Singida wote.
Nawasilisha.
zile ajali za Singida nilijua zitazaa jambo kama hili kwa hiki Chama kwani kinachowasaidia nguvu ya damu.Kuna sababu ya kuomba sana kwa ajili ya hizi damu kila zikimwagika kwenye ajali na kwingineko kinapata nguvu.Watu wa maombi ombeni wekeni ushabiki wa vyama pembeni.Asikiae na afahamu.Tunameamua kurusha mkutano wetu kupitia star tv kukinadi Tanzania nzima, karibuni wana Singida wote.
Nawasilisha.
hakuna chama chenye minoti kama ccm mkuu
zile ajali za Singida nilijua zitazaa jambo kama hili kwa hiki Chama kwani kinachowasaidia nguvu ya damu.Kuna sababu ya kuomba sana kwa ajili ya hizi damu kila zikimwagika kwenye ajali na kwingineko kinapata nguvu.Watu wa maombi ombeni wekeni ushabiki wa vyama pembeni.Asikiae na afahamu.
duh! Kwa hivo taarifa ya habari ya saa 11 jioni hatupati? Kwa nini wasiitumie tbc yao? Walianza na rfa pale tabora na sasa startv kwa nini wakati tbc ipo?
Tupa kule mkamuone vicky Kamata anaumwa kaachika.
zile ajali za singida nilijua zitazaa jambo kama hili kwa hiki chama kwani kinachowasaidia nguvu ya damu.kuna sababu ya kuomba sana kwa ajili ya hizi damu kila zikimwagika kwenye ajali na kwingineko kinapata nguvu.watu wa maombi ombeni wekeni ushabiki wa vyama pembeni.asikiae na afahamu.