Hii ni hatari sana kwa chama Tawala kudharau Dhehebu kubwa hapa Duniani kama Waislam
nape hujui kama ni mkiristo? wakiristo wote ni lao moja. angalia hapa JF tu
Mkutano wa CCM Jangwani: Nape anawatukana UAMSHO na kuwaita Wezi wakubwa na Majambazi..
Hayo maneno anayasema muda huu Jangwani LIVE ITV yaani kwa Ujumla kageuka Lusinde. Cha kujiuliza je Matusi ni sera ya CCM?
Mbona huyu Nape anaporomosha matusi jukwaani pale Jangwani Chadema Square.
Source: Live ITV.
Lkumbe nape hamna kitu. Mkiristo utamjua tu
Ndoa ndoana. Leo umemgeuka mwanandoa mwenzio? Kweli wewe wa hapahapanipo zanzibar: Nape aanza kupingwa, Uamsho kutoa kauli nzito jioni hii.
Watato tamko hilo katikia msikiiti wa Daraja bovu.
Kwakweli nape amechefua watu wengi Zanzibar.
Amewataja viongozi wa UAMSHO Ni wahunu huku Hata Mweenyekiti wake Jk Hajafanya uhuni kama huu.maana Shein katika hotuba yake aliwaita UAMSHO ni masheikh wanaoheshimika ndio maana wakapewa usajili
Watu wengi walitegemea NAPE kuzungumzia SAKATA LA NECTA na waislam na sio UAMSHO tena
nape ni muhini. anawaita waislam ni majambaziNdoa ndoana. Leo umemgeuka mwanandoa mwenzio? Kweli wewe wa hapahapa