Naamini kuna njia nyingine bora ya ku-deal na UAMSHO kuliko kutukanana majukwaani. Kwa mtazamazo wangu kauli ya Nape au niseme matusi ya Nape kwa UAMSHO yanaweza kuichimbia kaburi CCM huko Zanzibar. CCM watakuwa na wakati mgumu sana kuosha huu ukurutu ulitandazwa na Nape. Nani amemshauri kusema hayo maneno?