Mkutano soko kuu Mtwara- muendelezo wa gesi.

Mkutano soko kuu Mtwara- muendelezo wa gesi.

suleym

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,961
Reaction score
1,211
Hapa kuna mkutano agenda kuu ni kuhus kusafirisha gesi kwenda dar es salaam hapa wanasema kikwete amechokoza moto hawata rudi nyuma. wanasema gesi haitoki liwalo na liwe. nawasilisha. na zaidi wanamlaani hawa ghasia wanamwita msaliti.


SAM_0157.JPG SAM_0158.JPG SAM_0160.JPG SAM_0162.JPG SAM_0165.JPG SAM_0169.JPG SAM_0151.JPG
 
Hapa kuna mkutano agenda kuu ni kuhus kusafirisha gesi kwenda dar es salaam hapa wanasema kikwete amechokoza moto hawata rudi nyuma. wanasema gesi haitoki liwalo na liwe. nawasilisha. na zaidi wanamlaani hawa ghasia wanamwita msaliti.

Mkutano huo ni wa nani? Unahutubiwa na nani na umeandaliwa na nani?
 
du ni hatari,viongoz wasitumie nguvu kitaumana,cha muhumu wakae kwenye mazungumzo na hao wananchi waelewane,na kuelimishana,kuna jambo aliko sawa apo
 
Nafikiri wamerejea hotuba ya JK ya mwisho wa mwezi imewatia hasira,kwa maoni yangu JK alitoa majibu mepesi kwenye maswali magumu!
 
Hapa kuna hamasa kubwa sana, wanasema km nchi ni ya kilimo na serikali inasema dsm inatoa mapato asilimia 80 je dsm kuna kilimo gani?
 
Hao ni nyuki wa mashineni (kazi yao ni kupiga kelele, hawaumi wala hawatengenezi asali)
Gesi itakwenda, wananchi wataendelea kuhutubia na kuandamana.
KIKUBWA NA CHA MSINGI, "MSG SENT" hata kama "WILL NOT BE DELIVERED"
 
Hapa kuna mkutano agenda kuu ni kuhus kusafirisha gesi kwenda dar es salaam hapa wanasema kikwete amechokoza moto hawata rudi nyuma. wanasema gesi haitoki liwalo na liwe. nawasilisha. na zaidi wanamlaani hawa ghasia wanamwita msaliti.

...tutaanza kuwachunguza uraia wa hao wamakonde! isije ikawa watu wa nchumbiji ndo wanatusumbua! halafu nasikia PanAfrica Energy wana mkono wao pia!... gesi itatoka tu! hao ngoja wapumue pumue maana midomo ni yao Mungu kawapa!
:target::target::target:
 
Hapa kuna mkutano agenda kuu ni kuhus kusafirisha gesi kwenda dar es salaam hapa wanasema kikwete amechokoza moto hawata rudi nyuma. wanasema gesi haitoki liwalo na liwe. nawasilisha. na zaidi wanamlaani hawa ghasia wanamwita msaliti.
Wanaoratibu mikutano hii wawe wazi kwa Wananchi,haiwezeakani gas isiende Dar ila la kupigania hapa ni kuwa kabla haijaenda angalau serikali ihamasishe wawekezaji walete viwanda Mtwara,Lindi.
Angalia Kilwa,gas imekwenda Dar lakini la maana walilopata ni kuwekewa umeme toka kituo kidogo cha Somanga.
Kwanini pasingejengwa hata kiwanda kidogo cha cement na kuboresha bandari.
Serikali itoe vivutio kwa wawekezaji ili kusini pawe na maendeleo.
 
wanasema mkuu wa mkoa hawamtaki walimpa siku 14 sasa zimebaki siku 5 asipoondoka maanadamano ya kumshinikiza kuondoka. Du mvua inaharibu mkutano hapa lakin hotuba zinaendelea.
 
...tutaanza kuwachunguza uraia wa hao wamakonde! isije ikawa watu wa nchumbiji ndo wanatusumbua! halafu nasikia PanAfrica Energy wana mkono wao pia!... gesi itatoka tu! hao ngoja wapumue pumue maana midomo ni yao Mungu kawapa!
:target::target::target:

mkuu mud za hawa wananchi wanaonesha wako serious hapa kuna mvua watu hawaondoki wanasikiliza hotuba, na wanasema mikutano itaendelea kesho na kesho kutwa.
 
Back
Top Bottom