Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,904
Reaction score
7,746
Nimetaarifiwa na Mzalendo Mwl. Kaijage kuwa leo ACT Wazalendo wayafanya mkutano mkubwa ambao haujawahi kufanyika huko NYARUGUSU kwenye kambi za wakimbizi wanaotoka Burundi.

ACT wanasambaza uzalendo kwa ndugu zetu wakimbizi.

Kiongozi mkuu wa chama atawapa elimu ya ujamaa wa nyerere wakimbizi hao

Mwenyekiti Taifa atawaambukiza UNYERERE ndugu zetu warundi wanaokimbia machafuko kwao.

Tayari mipango imekamilika. Karibuni NYARUGUSU mwambukizwe unyerere, ujamaa na uzalendo.
 
Last edited by a moderator:
mzitokabwela saa hii uko Act Tanzania au ya wazalendo?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Teacher Kaijage sasa hivi ananong'oneza watu balada ya kutangaza hadharani?
Hata hivyo DAMU ya Ayaatollar ni nzito kuliko maji.Lazima akawaone wajomba zake
 
  • Thanks
Reactions: 999
ACT daima mbeleee kimataifa zaidii...ni muda wa kutoa Sera za uzalendo kwa hao jirani zetu ili wajitambue wako mahali salama
 
Kwa mwendo huu soon usishangae ACT wakifungua tawi Burundi kwenda kupambana na Piere Nkurunzinza.
Maana kuna watu wanadai kuwa Mfalme Zitto anakubalika sana Burundi.
 
Kweli wamekwama adi kwa wakimbizi ni nouma...

Mkuu tunacho hitaji sisi act,ni uungwaji mkono kwani hawa wanaojidai wazawa wanatulingia sana na maneno meengi mara oo act ni ccm b,sasa kwa wenzetu wakimbizi tena walioingia juzi tu watatuunga mkono kwani hawa hawajapata ujanja wa wabongo.
 
ACT daima mbeleee kimataifa zaidii...ni muda wa kutoa Sera za uzalendo kwa hao jirani zetu ili wajitambue wako mahali salama

Siyo mbaya kwani wakipewa kadi za act wataongeza idadi ya wanachama wa chama chetu
 
ACT wakimbizi.
Ayatolllah anawapa upako wa CCM ndugu zake
 
Hiki chama hiki ngoja nikae kimya nisije pigwa ban buree
 
Kwa hiyo Teacher Kaijage sasa hivi ananong'oneza watu balada ya kutangaza hadharani?
Hata hivyo DAMU ya Ayaatollar ni nzito kuliko maji.Lazima akawaone wajomba zake

Teeeh,teeeh,teeeh, kwani kwao ni gitarama?
 
Nasikia mmeamua kuungana na CCM kupambana na UKAWA.

Hasa hilo ndio lengo letu kuu hasa ukizingatia muda huu tulionao kuelekea uchaguzi mkuu,nilazima tuisaidie ccm dhidi hawa ukawa
 
Back
Top Bottom