Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Siyo mbaya kwani wakipewa kadi za act wataongeza idadi ya wanachama wa chama chetu

Hahahaaa Cdm katika rangi tofauti ambayo ni hatari sana kwa ustawi wa jamii ya kizalendo....cc tunajua yaliofanyika Burundi kupitia rais wao ndo yale aliofanya mwenyekiti wetu Fulani kujimilkisha chama kikatiba kitu ambacho ni kibaya kwa ustawi was jamii na demokrasia ya nchi hivyo kwenu nyiny ni furah yanaotekea Burundi lakini kwetu sisi ACT ni changamoto na kuna umuhim wa kuwapa uzalendo ndugu zetu wa jirani hawa......ukijua kirefu cha ACT ndo itakurahisishia kujua nn viongoz wetu kitaifa wamedhamiria kwenda kufanya..
 
Act-wazalendo adui namba moja wa chadema,ZZK rafiki namba moja wa Mbatia,Kafulila na Mdee "big Challenge! Kwa UKAWA.
 
Zitto mwenyewe mbembe ktka Kongo drc ,hivi siku hakutani na kikwete kweli pale ikulu,hivi akina Mwigamba ameshawalipa mshahara kweli Wa mwezi uliopita? Make Hayupo bungeni sasa sijui pesa atatoa wapi ya kuwlipa mshahara ,, ohoo sory nilisahau kuwa ccm wapo kwa ajili yake kumpa hela ya matumizi!
 
Hahahaaa Cdm katika rangi tofauti ambayo ni hatari sana kwa ustawi wa jamii ya kizalendo....cc tunajua yaliofanyika Burundi kupitia rais wao ndo yale aliofanya mwenyekiti wetu Fulani kujimilkisha chama kikatiba kitu ambacho ni kibaya kwa ustawi was jamii na demokrasia ya nchi hivyo kwenu nyiny ni furah yanaotekea Burundi lakini kwetu sisi ACT ni changamoto na kuna umuhim wa kuwapa uzalendo ndugu zetu wa jirani hawa......ukijua kirefu cha ACT ndo itakurahisishia kujua nn viongoz wetu kitaifa wamedhamiria kwenda kufanya..

Kweli mkuu kwani mwenyekiti wetu si ndio asili yake huko walikotoka hao wakimbizi?
 
Wakimbizi na wasaliti ni kitu kimoja tofauti ni kwamba mmoja kakimbia nchi kwa usaliti mwingine kakimbia chama kwa usaliti.
 
Hahahaaa Cdm katika rangi tofauti ambayo ni hatari sana kwa ustawi wa jamii ya kizalendo....cc tunajua yaliofanyika Burundi kupitia rais wao ndo yale aliofanya mwenyekiti wetu Fulani kujimilkisha chama kikatiba kitu ambacho ni kibaya kwa ustawi was jamii na demokrasia ya nchi hivyo kwenu nyiny ni furah yanaotekea Burundi lakini kwetu sisi ACT ni changamoto na kuna umuhim wa kuwapa uzalendo ndugu zetu wa jirani hawa......ukijua kirefu cha ACT ndo itakurahisishia kujua nn viongoz wetu kitaifa wamedhamiria kwenda kufanya..

Mwenyekiti wetu asili yake ni kayenzi
 
Hahahaaa Cdm katika rangi tofauti ambayo ni hatari sana kwa ustawi wa jamii ya kizalendo....cc tunajua yaliofanyika Burundi kupitia rais wao ndo yale aliofanya mwenyekiti wetu Fulani kujimilkisha chama kikatiba kitu ambacho ni kibaya kwa ustawi was jamii na demokrasia ya nchi hivyo kwenu nyiny ni furah yanaotekea Burundi lakini kwetu sisi ACT ni changamoto na kuna umuhim wa kuwapa uzalendo ndugu zetu wa jirani hawa......ukijua kirefu cha ACT ndo itakurahisishia kujua nn viongoz wetu kitaifa wamedhamiria kwenda kufanya..
Utaongea sana sisi act wazalendo,act tanzania,act mwigamba,act kiongozi mkuu tunadunda
 
kiongozi wa ACT mwenyewe ni mkimbizi kwa hiyo huko ameenda kwa wajomba zake

Viongozi wa ACT shughurikieni huyu raia sheria mpya iliyosainiwa jana ianzie kwake akathibitishe haya aliyoyasema
 
Back
Top Bottom