Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

Wale watu wahitaji chakula ,mablanket dawa nk.Asisahau hivi vitu,hawata muelewa.Aanze na hilo kwanza ndo u Nyerere ufuate.
 
Wenye akili finyu wanakejeli lakn nyarugusu hawaishi wakimbizi tu na hata wakimbizi wanapaswa kuelimishwa kwa faida ya Afrika
 
Nimetaarifiwa na Mzalendo Mwl. Kaijage kuwa leo ACT Wazalendo wayafanya mkutano mkubwa ambao haujawahi kufanyika huko NYARUGUSU kwenye kambi za wakimbizi wanaotoka Burundi.ACT wanasambaza uzalendo kwa ndugu zetu wakimbizi. Kiongozi mkuu wa chama atawapa elimu ya ujamaa wa nyerere wakimbizi haoMwenyekiti Taifa atawaambukiza UNYERERE ndugu zetu warundi wanaokimbia machafuko kwao.Tayari mipango imekamilika. Karibuni NYARUGUSU mwambukizwe unyerere, ujamaa na uzalendo.
Mnamatatizo sana lakini yote hayo nisababu ya ZERO WENU MBOWE
 
Last edited by a moderator:
fanyeni mambo kwa malengo sasa hao wakimbiz mnawasambazia uzalendo nao
 
Wenye akili finyu wanakejeli lakn nyarugusu hawaishi wakimbizi tu na hata wakimbizi wanapaswa kuelimishwa kwa faida ya Afrika

Mkuu wakimbizi wataongeza kura za ACT LIMITED?
 
Mnamatatizo sana lakini yote hayo nisababu ya ZERO WENU MBOWE
Zero Mbowe ndio amemfanya ayatoll.ah Zitto awe mkimbizi wa kisiasa anamrishwa hata na Mwigulu aliyemkuta Ztto kwenye siasa
 
...a.y.a.to.ll.h kashapoteza dira,amatafuta swaga za kumtoa kimaisha ...
 
Kwa mwendo huu soon usishangae ACT wakifungua tawi Burundi kwenda kupambana na Piere Nkurunzinza.
Maana kuna watu wanadai kuwa Mfalme Zitto anakubalika sana Burundi.

kwan kufungua tawi nje n tatzo?, mbona vyama vngi tu vnamatawi nje au mnafungua matawi kwa Mia ya kuomba omba? that y mnafungua US na sio burundi!!! so rahis Africa kuendelea coz tujikataa
 
Zero Mbowe ndio amemfanya ayatoll.ah Zitto awe mkimbizi wa kisiasa anamrishwa hata na Mwigulu aliyemkuta Ztto kwenye siasa
Hayo nimanenoyakotu, ila miniwashauri fanyeni siasa masuala yakuizungu mzia ACT ni upuzi na kukosa lakuwatetea wananchi
 
Nawaeleza mwaka huu mtaelewa nyie kazieni siasa za chuki ambazo hazina tena nafasi karne hii, CCM&CDM nyie ndie mnae haribu nchi hii, CCM kama serikali CDM kama chama cha kuwatetea wananchi mmeshindwa na kuunda mizengwe,chuki,uhasama na kuvisha vijana ufuasi wa kuropoka na matusi kuwa ndio hoja,nchi hii itakombolewa na WAZALENDO hamna wengine
 
duuu wanataka watumie hao wakimbizi elfu kumi na tano kuonesha eti wananchi walifurika kwenye mkutano wa ACT, kweli CCM A & B ni sawa.
 
Back
Top Bottom