Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
- Thread starter
- #61
Nawaeleza mwaka huu mtaelewa nyie kazieni siasa za chuki ambazo hazina tena nafasi karne hii, CCM&CDM nyie ndie mnae haribu nchi hii, CCM kama serikali CDM kama chama cha kuwatetea wananchi mmeshindwa na kuunda mizengwe,chuki,uhasama na kuvisha vijana ufuasi wa kuropoka na matusi kuwa ndio hoja,nchi hii itakombolewa na WAZALENDO hamna wengine
Mkuu hawa watu saa hizi hawana muda wa kuujua UNYERERE. Wao wanawaza U-Nkuruzinza tu.