Mhabarishaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 1,006
- 598
Pinda, ujiko unaoutafuta kwa Mahakama ya Kadhi, utakutokea puani! Wenzio wanaoutafuta Urais, wanakuingiza mkenge, bado tu hujashituka, umeng'ang'ana tu na Mahakama ya Kadhi? Unazidi kujikaanga mwenyewe, achana na upuuzi huo usioweza kukubalika hapa!