Hongera Serikali kuwatupa nje viongozi wa dini katika timu ya dira ya taifa, ni muelekeo mzuri

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,350
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Roman Cathoriki viongozi wake wote wamesoma,

Hakuna aliyeishia Diploma .

Mapadre wote Elimu yao kuanzia Shahada na kuendelea .

Na wamesoma fani mbali mbali.

Nikupe mfano wa Padrei mmoja tu yupo hapo chuo chao Cha ardhi padre Rimisho ambae ni.

- Komandoo

- Injinia.

-Mwanajeshi

- Mwanamieleka.

- Ni padre.

- Ni lecturer. Ardhi university.

Mgugo utauona sifa zake
 
Roman Cathoriki viongozi wake wote wamesoma,

Hakuna aliyeishia Diploma .

Mapadre wote Elimu yao kuanzia Shahada na kuendelea .

Na wamesoma fani mbali mbali.

Nikupe mfano wa Padrei mmoja tu yupo hapo chuo chao Cha ardhi padre Rimisho ambae ni.

- Komandoo

- Injinia.

-Mwanajeshi

- Mwanamieleka.

- Ni padre.

- Ni lecturer. Ardhi university.

Mgugo utauona sifa zake
Achague kuwa padre au mieleka
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Hiyo timu iko wapi sasa?!
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Wafanye kazi za kiroho!
 
Roman Cathoriki viongozi wake wote wamesoma,

Hakuna aliyeishia Diploma .

Mapadre wote Elimu yao kuanzia Shahada na kuendelea .

Na wamesoma fani mbali mbali.

Nikupe mfano wa Padrei mmoja tu yupo hapo chuo chao Cha ardhi padre Rimisho ambae ni.

- Komandoo

- Injinia.

-Mwanajeshi

- Mwanamieleka.

- Ni padre.

- Ni lecturer. Ardhi university.

Mgugo utauona sifa zake
Haijalishi swala ni kwamba wametupwa Nje kwa.sababu wangeleta mambo Yao.

Haya hivyo Wanaweza toa maoni kama.kundi lao like anyone else.
 
Mleta mada ungekuwa na akili japo za "kuruka barabara" ningekushauri kitu, lkn ndio hivyo tena una utapiamlo wa akili!
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Ongea wote sio Roman Catholic,asilimia 45 ya lecturers wa vyuo ROMAN CATHOLIC ni viongozi hao wa dini , PhD
 
Watu Walio vichakani wamepotea njia, wanawezaje kukaa kutengeneza dira?

KATIBA mpya ndo dira tunayoitaka Kwa sasa kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Kwa hiyo, wewe unaona viongozi wa dini hawawezi kuwa wataalamu au hawana sifa za kuchangia kuweka dira ya taifa. Hapa ndipo huwa tunafanya makosa makubwa sana. Kwa upande wangu, viongozi wa dini wangetumiwa vizuri wana mambo mengi ya kitaalamu ambayo hayatumiki kwa manufaa ya taifa. Kama waliyonayo yangetumiwa na kama mchango wao ungethaminiwa, tungeweza kupiga hatua kubwa sana. Sina maana kwamba katika mchango wao walete mambo ya dini, lakini kuna masomo waliyosoma kama falsafa, saikolojia, sosiolojia, anthropolojia, epistemolojia, phenomenolojia, existentialism, falsafa ya siasa, logic, maadili (philosophical ethics & morality) etc ambayo naamini hakuna wanasiasa wala watalaamu wengine wanaweza kuwafikia. Kama wangekuwa hawana kitu mambo wanayoyasimamia na hata shule zao zisingekuwa zinafanya vizuri sana.
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Kwahiyo kitendo cha wao kufokuwemo ni furaha kwako? Acha chuki wivu na umasikini wa kufikiri. Et hawana utalaamu? Utalaamu gani? Nani mtaalamu sasa wa dira ya taifa unaemjua? Kuwa kiongozi wa dini unadhan sifa ni kuwa mtoto wa kiongozi au kujuana? Hapo watu wote wana fani na wao ndio wanakaa na watu huku chini na wanajua hali halis za watu
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Brother umepata wapi huo ujasiri wa kuona viongozi wa dini kutokushirikishwa ni jambo la maana sana nenda kacheki Baraza la maaskofu wa kkkt na Roma angalia PhD ziko ngapi huko ndani changuza ni ngapi za kupewa,ni ngapi zimetokana na masomo ya dini brother kutokuwashirikisha viongozi wa dini kwenye dira ya taifa siyo jambo la kujivunia hata kidogo
 
Timu ya kutengeneza dira ya taifa ya mwaka 2025-2050 imewaweka wataalamu tu katika maeneo mbalimbali.

Japo sioni umuhimu wa kutengeneza kitu hicho kinachoitwa dira ya taifa ila ni naipongeza sana serikali kutowajumuisha viongozi wa dini katika timu hiyo kwa sababu hawana utaalamu wowote ila kwa muda mrefu sana wamekuwa mstari mbele na kupewa kipaumbele katika mambo mengi ya kitaifa bila kuwa na umuhimu wowote.

Hii ni hatua muhimu sana kuelekea kuongozwa na sayansi na uhalisia zaidi kuliko hisia zinazotokana na superstitions za kidini.
Naamini watashirikishwa ikishatoka draft document ya hiyo dira. Sio kwamba wamesahaulika. Humo pia wataingia na makundi mengine maalum.
 
Kwa hiyo, wewe unaona viongozi wa dini hawawezi kuwa wataalamu au hawana sifa za kuchangia kuweka dira ya taifa. Hapa ndipo huwa tunafanya makosa makubwa sana. Kwa upande wangu, viongozi wa dini wangetumiwa vizuri wana mambo mengi ya kitaalamu ambayo hayatumiki kwa manufaa ya taifa. Kama waliyonayo yangetumiwa na kama mchango wao ungethaminiwa, tungeweza kupiga hatua kubwa sana. Sina maana kwamba katika mchango wao walete mambo ya dini, lakini kuna masomo waliyosoma kama falsafa, saikolojia, sosiolojia, anthropolojia, epistemolojia, phenomenolojia, existentialism, falsafa ya siasa, logic, maadili (philosophical ethics & morality) etc ambayo naamini hakuna wanasiasa wala watalaamu wengine wanaweza kuwafikia. Kama wangekuwa hawana kitu mambo wanayoyasimamia na hata shule zao zisingekuwa zinafanya vizuri sana.
Hakuna mambo yoyote ya kitaalamu ambayo viongozi wa dini wanayo yayoweza kutumika kwa maslahi ya taifa. Wanatumika zaidi katika kuwapa legitimacy watawala/wanasiasa na mambo yao mbalimbali.
 
Back
Top Bottom